Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #61
Ukiamini hvyo cku moja litakuja jini dume hapo ndo utaipandeka
acha/utani wewe , jini dume linaweza kukuibukia hata wewe
Ukiamini hvyo cku moja litakuja jini dume hapo ndo utaipandeka
Hehehehe!Achukue yeye!
chukua lizzy,mreplace jini baci...........ama waonaje????:ballchain:
Jini maana yake nini? na je unaweza kuwa na uhusiano na jini kama wewe siyo jini pia?
Hivi haya majini mahaba yako kwa waafrika tu au kila mahali!!!
Pole sana piga goti sali sana mwombe Mungu naye atakuepusha na hilo jini, lakini kama umeridhika nalo endelea kupata vitu
hii stori ni ya kweli jamani, hataki niwe na demu ,kila nikipata demu sikai nae ,sasa niendelee na huyu jini mahaba au nifanyeje? Ushauri jamani sio mzaha na hawa jini mahaba hawana magonjwa kama kaswende ukimwi kisonono au kichocho? .. Nipo njia panda jamani hapa
Jinn =kutoonekana.Jini maana yake nini? na je unaweza kuwa na uhusiano na jini kama wewe siyo jini pia?
Hivi haya majini mahaba yako kwa waafrika tu au kila mahali!!!
</p>Jaman muwe mnatumia na akili zenu...kutafakari.</p>
<p>Jinn ni kiumbe bila shaka. Kama si kiumbe kwa hiyo imani yako... jinn ni nin?</p>
<p>Halafu neno shaytwan ni sifa. Hata ww binadam unaweza itwa shaytwan.</p>
<p>Lakin ww binadam huwezi itwa jinn and virce versa.</p>
<p>Uliza ujibiwe na uelimishwe zaidi kuhusu hao viumbe(majinn).
Nafikiri hujaelewa maana ya imani...<p></p>
<p> </p>
Shekhe maalim sikiza ndio maana nikatofautisha kuna imani na imani, sasa hiyo sindio imani yako wewe, halafu mimi ukiniambia shaytwan sijuhi hata ni kitu gani unamaanisha?
muombe umpige picha uje utuoneshe hapa jamvini ili tuone majini yalivyo lol
jf hakupungui raha.
tatizo lenu nyie waislam ndo hilo, mnafuga majini, na mnaoa majini mkifikiri yatawapa pesa na maendeleo...matokeo yake ndo hayo..kama wewe au dingi yako ndo alilipata hilo unalo..na ukioa mwanamke wa kawaida, linafunga kizazi, ukibahatika kuzaa na mwanamke mwingine lina ua watoto au linaua mimba..hata mkeo halali linaweza kuua...hapo ulipo hutaoa tena kama hautaokoka na kubadili hiyo dini ya mtume mwamedi.