Jina lako lina-trend wapi leo?

Jina lako lina-trend wapi leo?

Setfree

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
5,527
Reaction score
7,121
Leo, jina lako lina-trend katika jukwaa lipi? La Siasa, la Habari na Hoja Mchanganyiko au International Forum?

Ukitubu leo na kuamua kuokoka, jina lako lita-trend mbinguni. Na huko sio ku-trend tu, itakuwa Breaking News itakayowafanya malaika wote washangilie.
Luka 15:7
"Kadhalika nawaambieni, ndivyo kutakavyokuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya kutubu kwa mwenye dhambi mmoja, kuliko kwa ajili ya watu tisini na tisa wanaojiona kuwa wema, wasiohitaji kutubu.”

Mnaosema mada zangu ni ndefu, hamuwezi kusoma mpaka mwisho, semeni sasa: na hii mmeshindwa kuisoma mpaka mwisho au huwa ni geresha tu 🙂
 
Salamu Maria mkingiwa dhambi ya asili muombee setfree, mama yetu waridi lenye fumbo
 
Nilime, nishavuna sasa Ila bado

Mama Bikira Maria ndo kimbilio
 
Mm nna trend jehanamu, Niko nawaandalia kitimoto choma nyie watu wa jehanamu watarajiwa 😎
 
Nilime, nishavuna sasa Ila bado

Mama Bikira Maria ndo kimbilio
Pole sana, kama huo uzi hujauelewa labda huu utakusaidia
 
Maua pub mbagala
Pole sana. Wahi hospitali wakusaidie kutoa sumu uliyoinywa leo
 
Pole sana. Wahi hospitali wakusaidie kutoa sumu uliyoinywa leo
Nitolee upumbavu mm nipo hapa baa nalewa na bwana wako
Sawa bikra maria
 
Mm nna trend jehanamu, Niko nawaandalia kitimoto choma nyie watu wa jehanamu watarajiwa 😎
We acha tu, maisha ya jehanam yasikie tu kwa yule tajiri
 
We acha tu, maisha ya jehanam yasikie tu kwa yule tajiri
Mbona mm naishi poa tuu huku
 
Leo, jina lako lina-trend katika jukwaa lipi? La Siasa, la Habari na Hoja Mchanganyiko au International Forum?

Ukitubu leo na kuamua kuokoka, jina lako lita-trend mbinguni. Na huko sio ku-trend tu, itakuwa Breaking News itakayowafanya malaika wote washangilie.
Luka 15:7
"Kadhalika nawaambieni, ndivyo kutakavyokuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya kutubu kwa mwenye dhambi mmoja, kuliko kwa ajili ya watu tisini na tisa wanaojiona kuwa wema, wasiohitaji kutubu.”

Mnaosema mada zangu ni ndefu, hamuwezi kusoma mpaka mwisho, semeni sasa: na hii mmeshindwa kuisoma mpaka mwisho au huwa ni geresha tu 🙂
Mtumishi leo umeandika fupi hadi namie nimeisoma yote, ubarikiwe....uwe unaandika hivi ya kusomeka sio marefu kama ya Lucas Mwashambwa
 
Back
Top Bottom