Jina lako la kichawi

Jina lako la kichawi

Mshana naomba nipe tafsiri kamili ya maneno haya...

A na A (Cursed Soul)

c9e63d4ba07ff0184d33d45aacfaf6c0.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmh roho laanifu

Jr
Nimepatwa na mshangao nilipo baini tafsiri hii, kabla sijaomba msaada zaidi kutoka kwako.

Anyway (No way) ni jina langu la kichawi, jina halisi tuseme ni Alexander Anderson.

Naomba ufafanuzi kidogo juu ya hili...
Jina hili la Kichawi "Roho Laanifu" linasimama katika nafasi gani/ipi katika Ulimwengu wa Kiza....!?

Lina Nguvu ama ni Dhaifu kwa kiwango kipi/gani....!?

Samahani Mshana Jr kwa kukushughulisha juu ya hili....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niwatakie baraka tele na amani kwa wale watakaojaaliwa kwenda ibadani.... Ni jambo jema, tena la kheri.... Mkawaombee na wote wenye shida mbalimbali za kiroho na kimwili pia, ugongwa na taabu, wasafirio nchi kavu angani na bahatini..... Muwakumbuke yatima na wajane pia... Aamen

Kama ilivyo kwenye maisha yetu kila mmoja hakosi jina, liwe la kimila ama la kizungu au la kiarabu ni jina lako, liwe la kujipachika mwenyewe, la utani ama la bandia bado litabaki kuwa jina lako.....
Lakini vile vile kila mmoja wetu hapa ana siku yake! I mean siku ya kuzaliwa na kufa pia! Kila mmoja wetu ana bahati yake, nyota yake nknk... Huo ndio ukamilifu wa mwanadamu KUMILIKI.....
Tunamiliki vizuri na vibaya! Visivyoonekana na vinavyoonekana.... Tusivyovijua na tunavyovijua... Jina la kichawi ni mojawapo ya vitu unavyomiliki kiasili

Imekaaje hii? Utajuaje? Unalipataje jina lako la kichawi?
Chukua herufi ya kwanza ya jina lako na herufi ya kwanza ya ubini wako kisha linganisha na tafsiri yake kwenye jedwali la kizungu hapa chini.... Ni rahisi mnoView attachment 580503kama kuna shida kidogo ya lugha tafuta kamusi ama lete hapa utapata tafsiri yake sahihi kwa kiswahili fasaha (sio kikwenu) linganisha tafsiri hiyo na maisha yako... Unaweza kujikuta wewe ni mchawi mahiri bila kujijua
Zingatia wale tunaowaita wana midomo mibaya! Kwamba akikutamkia jambo baya lazima likutokee... Akikwambia UTAKUFA.... Utakufa kweli


Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi ni Divine Obsession. Sijaelewa mkuu
 
Nimepatwa na mshangao nilipo baini tafsiri hii, kabla sijaomba msaada zaidi kutoka kwako.

Anyway (No way) ni jina langu la kichawi, jina halisi tuseme ni Alexander Anderson.

Naomba ufafanuzi kidogo juu ya hili...
Jina hili la Kichawi "Roho Laanifu" linasimama katika nafasi gani/ipi katika Ulimwengu wa Kiza....!?

Lina Nguvu ama ni Dhaifu kwa kiwango kipi/gani....!?

Samahani Mshana Jr kwa kukushughulisha juu ya hili....

Sent using Jamii Forums mobile app
Nitakuja na post kamili kwenye hili lako ili tufaidi wote

Jr
 
Back
Top Bottom