PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Wadau,
Je jina la ukoo huanzia wapi katika mfululizo wa ukoo?
Nilijaribu kuangalia familia yangu nikagundua kuwa kuna utata, NA HASA baada ya huu utaratibu wa majina ya kizungu!
Mjukuu wangu anaitwa Samsoni.
Baba yake, ambaye ni mwanangu anaitwa Paulo.
Mini ninaitwa Damas.
Baba yangu anaitwa Julius.
Babu yangu (ambaye alibahatika kubatizwa) anaitwa Yohana Mandiga.
-Je inawezekana mtoto wa mwanangu akatumia jina langu kama la ukoo, au na yeye lazima ajiite ukoo wa Mandiga?
-Je yawezekana mtu kutumia jina la ukoo la kizungu mfano Yohana?
-Jina la ukoo linaanzia nyuma kiasi gani kutoka kwangu?....au hakuna fomula?
Je jina la ukoo huanzia wapi katika mfululizo wa ukoo?
Nilijaribu kuangalia familia yangu nikagundua kuwa kuna utata, NA HASA baada ya huu utaratibu wa majina ya kizungu!
Mjukuu wangu anaitwa Samsoni.
Baba yake, ambaye ni mwanangu anaitwa Paulo.
Mini ninaitwa Damas.
Baba yangu anaitwa Julius.
Babu yangu (ambaye alibahatika kubatizwa) anaitwa Yohana Mandiga.
-Je inawezekana mtoto wa mwanangu akatumia jina langu kama la ukoo, au na yeye lazima ajiite ukoo wa Mandiga?
-Je yawezekana mtu kutumia jina la ukoo la kizungu mfano Yohana?
-Jina la ukoo linaanzia nyuma kiasi gani kutoka kwangu?....au hakuna fomula?