Jina la Sabaya lasimamisha kesi kwa muda

Hata akiachiwa, hatorudi tena mtasni na kuitwa DC Jenerali Lengai Ole Sabaya! Badala yake atakuwa tu ni good for nothing Lengai Ole Sabaya!

Hatavamia tena maduka ya watu kupora mali na fedha! Maana atachomwa moto! Hawafanyia tena raia wema ubabe, udhalikishaji na ukatili! Maana atakuwa hana tena mikono na nguvu za kufanya hivyo!

Hili ni fundisho tosha! Ingawa binafsi bado naamini kifungo cha miaka kadhaa gerezani, kinamsubiri.
 
Hata mimi japo ni bush lawyer nililiona hilo.

Huwa nasemaga kila siku wanasheria makini wako Kenya ndio maana kesi zao hurushwa mubashara luningani!
Jina lake ni LENGAI s/o......
Katika sheria hilo la kwanza ndiyo huwa na tija, kufanya mabadiliko ya jina la ukoo (Sabaya) hakufanyi yeye asiwe LENGAI ndiyo maana hearing proceedings zinaendelea kama kawaida.

Huyu kwa kifupi hachomoki, usidhani Rais alimtema ghafla tu bali tayari alikuwa na taarifa zote za matukio yake ya hovyo.

Kwa sasa LENGAI ajiandae kuwasilisha ushahidi wa maandishi au sauti ya kwamba alitekeleza maagizo ya mamlaka ya juu.
 
Hata akiachiwa, hatorudi tena mtasni na kuitwa DC Jenerali Lengai Ole Sabaya! Badala yake atakuwa tu ni good for nothing Lengai Ole Sabaya!

Hatavamia tena maduka ya watu kupora mali na fedha! Maana atachomwa moto! Hawafanyia tena raia wema ubabe, udhalikishaji na ukatili! Maana atakuwa hana tena mikono na nguvu za kufanya hivyo!

Hili ni fundisho tosha! Ingawa binafsi bado naamini kifungo cha miaka kadhaa gerezani, kinamsubiri.

👍itakua mwisho na mwanzo mpya
 
Kama jina lilikosewa kwanini alikubali kwenda Mahakamani? Au kukamatwa na vyombo vya usalama? Si angekataa kwa kjsema sio jina lake?
 
Pamoja na kuwa mkongwe chamani na Serikalini, lakini nami ni mjuzi na msomi wa sheria. Nilimaliza sheria miaka ya themanini na kuifanyia kazi hadi miaka ya mwishoni mwa tisini. Najua ninachokiandika hapa. Nina hakika na nikiandikacho hapa.

Amini nawaambia, Lengai Ole Sabaya 'ameshaachiwa' kisheria. Punde tu atakuwa mtu huru na atatamba na kubamba kuliko pamba. Hataachiwa kutokana na udhaifu wa ushahidi wa mashtaka. Hataachiwa kwakuwa utetezi wake una mashiko kama mwiko.

Sote tumeshuhudia jinsi kesi nzito na yenye mashiko ilivyojengwa na akina Kweka wa Jamhuri. Tumeshuhudia na kusikia jinsi utetezi wa Sabaya ulivyokuwa mwepesi kama karatasi. Lakini, Sabaya ataepuka kukutwa na hatia kama si Mahakama inayomsikiliza sasa basi ni ambayo watakata rufaa.

Sabaya ataachiwa kwa suala la kisheria. Baada ya kutokea mabishano ya kisheria kuhusu jina la Sabaya kukosewa, iliamriwa kuwa Sabaya asomewe maelezo yake upya. Akasomewa. Utetezi ukaendelea. Kuna kitu muhimu cha kisheria hakikufanyika. Mashahidi wa Jamhuri walipaswa kuitwa tena na kutoa ushahidi wao tena. Haikuwa hivyo.

Mashahidi walipaswa kuitwa upya kwakuwa Mshtakiwa 'amebadilishiwa' jina lake. Hawakuitwa na kesi inaendelea. Wao walitoa ushahidi dhidi ya Sayaba na si Sabaya. Kutoitwa tena kutatumika 'kumchomoa' Sabaya hapo au baada ya hapo. Ni suala la kisheria. Subirini mshuhudie jambo hili.

Askofu Gwajima hakamatiki?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kigoma Mjini)
NENDA KASOME TENA
 
Jina lake ni LENGAI s/o......
Katika sheria hilo la kwanza ndiyo huwa na tija, kufanya mabadiliko ya jina la ukoo (Sabaya) hakufanyi yeye asiwe LENGAI ndiyo maana hearing proceedings zinaendelea kama kawaida.

Huyu kwa kifupi hachomoki, usidhani Rais alimtema ghafla tu bali tayari alikuwa na taarifa zote za matukio yake ya hovyo.

Kwa sasa LENGAI ajiandae kuwasilisha ushahidi wa maandishi au sauti ya kwamba alitekeleza maagizo ya mamlaka ya juu.
Kama jina lake ni Lengai mbona baadhi ya mashahidi walishindwa kumtambua?

Wao wanamjua Lengai s/o Sabaya siyo yule Lengai s/o Sayaba waliyemkuta mahakamani!
 
Kama jina lilikosewa kwanini alikubali kwenda Mahakamani? Au kukamatwa na vyombo vya usalama? Si angekataa kwa kjsema sio jina lake?
Alibaini jina kukosewa wakati wa kusikilizwa kwa kesi yake, na pia baada ya kupewa nakala ya hati yake ya mashtaka bila shaka.

Au nasema uongo swahiba wangu Bush lawyer johnthebaptist 😜?
 
Hata akiachiwa kwa muda aliokaa rumande atakuwa ameshajifunza kuwa hakuna aliye juu ya sheria, na kitumbua chake kimeshaingia mchanga anakuwa hana tofauti na raia mwingine wa kawaida. Na inawezekana ndio ukawa mwisho wa umaarufu wake labda aje Rais mwingine atakaye muelewa
Kitumbua kimeingia nchanga
 
Hata akiachiwa kwa muda aliokaa rumande atakuwa ameshajifunza kuwa hakuna aliye juu ya sheria, na kitumbua chake kimeshaingia mchanga anakuwa hana tofauti na raia mwingine wa kawaida. Na inawezekana ndio ukawa mwisho wa umaarufu wake labda aje Rais mwingine atakaye muelewa
Na ukweli kuwa atakuwa lofa tu.
 
Pamoja na kuwa mkongwe chamani na Serikalini, lakini nami ni mjuzi na msomi wa sheria. Nilimaliza sheria miaka ya themanini na kuifanyia kazi hadi miaka ya mwishoni mwa tisini. Najua ninachokiandika hapa. Nina hakika na nikiandikacho hapa.

Amini nawaambia, Lengai Ole Sabaya 'ameshaachiwa' kisheria. Punde tu atakuwa mtu huru na atatamba na kubamba kuliko pamba. Hataachiwa kutokana na udhaifu wa ushahidi wa mashtaka. Hataachiwa kwakuwa utetezi wake una mashiko kama mwiko.

Sote tumeshuhudia jinsi kesi nzito na yenye mashiko ilivyojengwa na akina Kweka wa Jamhuri. Tumeshuhudia na kusikia jinsi utetezi wa Sabaya ulivyokuwa mwepesi kama karatasi. Lakini, Sabaya ataepuka kukutwa na hatia kama si Mahakama inayomsikiliza sasa basi ni ambayo watakata rufaa.

Sabaya ataachiwa kwa suala la kisheria. Baada ya kutokea mabishano ya kisheria kuhusu jina la Sabaya kukosewa, iliamriwa kuwa Sabaya asomewe maelezo yake upya. Akasomewa. Utetezi ukaendelea. Kuna kitu muhimu cha kisheria hakikufanyika. Mashahidi wa Jamhuri walipaswa kuitwa tena na kutoa ushahidi wao tena. Haikuwa hivyo.

Mashahidi walipaswa kuitwa upya kwakuwa Mshtakiwa 'amebadilishiwa' jina lake. Hawakuitwa na kesi inaendelea. Wao walitoa ushahidi dhidi ya Sayaba na si Sabaya. Kutoitwa tena kutatumika 'kumchomoa' Sabaya hapo au baada ya hapo. Ni suala la kisheria. Subirini mshuhudie jambo hili.

Askofu Gwajima hakamatiki?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kigoma Mjini)
Kuna kitu hufahamu ww!!
Prejudice
kama marekebisho ya jina hayakum prejudice hio sio hoja....as long as he was property identified
 
Hata akishinda cha moto anekiona.
Muhimu ajifunze japo siioni sura ya kujifunza pale.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Tatizo si anajifanya yeye ni Tiss!! Yaani dogo ni ni zaidi ya jeuri!! Yaani anajiona hii nchi kama ya baba yake vile! Anaulizwa maswali na mawakili wa Jamhuri, yeye anajibu kijeuri jeuri tu!

Sijui, simfahamu!! Yaani eti mpaka Mkuu wake wa Mkoa alikuwa hamfahamu!! Nitashangaa sana iwapo Hakimu hatamfanyia suprise ya kumgonga nyundo za kutosha, ili akili yake irudi katika hali yake ya kawaida!
 
Pamoja na kuwa mkongwe chamani na Serikalini, lakini nami ni mjuzi na msomi wa sheria. Nilimaliza sheria miaka ya themanini na kuifanyia kazi hadi miaka ya mwishoni mwa tisini. Najua ninachokiandika hapa. Nina hakika na nikiandikacho hapa.

Amini nawaambia, Lengai Ole Sabaya 'ameshaachiwa' kisheria. Punde tu atakuwa mtu huru na atatamba na kubamba kuliko pamba. Hataachiwa kutokana na udhaifu wa ushahidi wa mashtaka. Hataachiwa kwakuwa utetezi wake una mashiko kama mwiko.

Sote tumeshuhudia jinsi kesi nzito na yenye mashiko ilivyojengwa na akina Kweka wa Jamhuri. Tumeshuhudia na kusikia jinsi utetezi wa Sabaya ulivyokuwa mwepesi kama karatasi. Lakini, Sabaya ataepuka kukutwa na hatia kama si Mahakama inayomsikiliza sasa basi ni ambayo watakata rufaa.

Sabaya ataachiwa kwa suala la kisheria. Baada ya kutokea mabishano ya kisheria kuhusu jina la Sabaya kukosewa, iliamriwa kuwa Sabaya asomewe maelezo yake upya. Akasomewa. Utetezi ukaendelea. Kuna kitu muhimu cha kisheria hakikufanyika. Mashahidi wa Jamhuri walipaswa kuitwa tena na kutoa ushahidi wao tena. Haikuwa hivyo.

Mashahidi walipaswa kuitwa upya kwakuwa Mshtakiwa 'amebadilishiwa' jina lake. Hawakuitwa na kesi inaendelea. Wao walitoa ushahidi dhidi ya Sayaba na si Sabaya. Kutoitwa tena kutatumika 'kumchomoa' Sabaya hapo au baada ya hapo. Ni suala la kisheria. Subirini mshuhudie jambo hili.

Askofu Gwajima hakamatiki?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kigoma Mjini)

Uchaguzi wa mwaka jana uli set standard mpya ya Tanzania, lolote lawezekana, but the thing is: Who cares?
 
Hata kama ataachiwa huru lakini watakua wametuonyesha na kuionyesha dunia kuwa maDC na maRC ni vyeo visivyo na tija kwa maendeleo ya wananchi zaidi sheria ya serikali za mitaa na tawala za mikoa haina tija wakati huu wa vyama vingi kwa sababu inawaweka maRC na maDC kuwa wasimamizi wa maslahi ya chama tawala badala ya maendeleo ya wananchi.
Kiufupi Tanzania tunahitaji kupunguza au kuondoa kabisa hivi vyeo vya uteuzi kwa maslahi mapana ya nchi kwanza vinaongeza mzigo wa matumizi ya serikali matumizi ambayo yangepelekwa kwenye maendeleo
 
Hata akiachiwa kwa muda aliokaa rumande atakuwa ameshajifunza kuwa hakuna aliye juu ya sheria, na kitumbua chake kimeshaingia mchanga anakuwa hana tofauti na raia mwingine wa kawaida. Na inawezekana ndio ukawa mwisho wa umaarufu wake labda aje Rais mwingine atakaye muelewa
nawe unaamini kabisa alikamatwa ...zile ni trick kukutoa kwenye reli kijana...ukute aliwekewa hadi TV mahabusu...mwenzio yupo kazini
 
Back
Top Bottom