Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,465
- 70,198
Hiyo degree ya ubush lawyer uliipatia chuo gani bwashee?Hata mimi japo ni bush lawyer nililiona hilo.
Huwa nasemaga kila siku wanasheria makini wako Kenya ndio maana kesi zao hurushwa mubashara luningani!