Si mwanccm, lkn hii haimaanishi nimchukie JK kama wengine wanavyo fanya hapa mtandaoni,. Mfano katika hili suala linalo husu kifo cha Mandela utamponda JK kwa lipi? Tubadilike jaman tofauti za vyama zisitufanye kukosa utu, heshima na uzalendo kwa kiongozi wa nchi kiasi hiki! Tunamkosoa JK kwa hoja lkn si kwa dharau kiasi hiki!