kerubi afunikaye
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,183
- 1,057
Baba akirudi kutoka kuzika nawasemea Tanesco wote na limuongo lao kwa kutukatia umeme wakati anakaribishwa hadi tumeshindwa kumuona alivyopendeza na tai yake na tabasamu lake.leeo..leeo..nawathemea thubilini aludi!