Napendekeza jina la Mfugale Flyover lirekebishwe kuwa Patrick Mfugale Flyover. Sababu ni moja tu kuwa Mfugale wako wengi. Hivyo kutoa nafasi kwa Mfugale asiyehusika kunufaika na jina hilo. Mifano ni mingi kuhusu majina kuwa kamili au kuanza na herufi za kwanza.
Wako Jesus, Kenyatta, Nyerere, Nkurumah nk wengi tu je, ni hao wahusika?Napendekeza jina la Mfugale Flyover lirekebishwe kuwa Patrick Mfugale Flyover. Sababu ni moja tu kuwa Mfugale wako wengi. Hivyo kutoa nafasi kwa Mfugale asiyehusika kunufaika na jina hilo. Mifano ni mingi kuhusu majina kuwa kamili au kuanza na herufi za kwanza.
kwa maana hiyo na wewe unatoka kuwa jinga lao na kuitwa mfugalesasa mwanangu nikimbatiza jina na kumuita patrick Mfugale utataka jina la flyover lirekebishwe?
Ana hoja nzuri sana. Hii italeta udadisi zaidi kwa watu eg wageni, wasiojua maana ya hilo jina. Likiandikwa kwa kirefu kama ilivyopendekezwa hata mgeni atakuwa na nafasi nzuri ya kujua ni jina la mtu na atadadisi zaidi ilikuwaje mpaka apewe heshima kama hiyo. Otherwise yoyote alipendekeza hili jina amefanya jambo la maana sana kwani mara nyingi sisi watanzania huwa tunaita watu waadilifu kuwa ni ''wajinga'' au siyo wajanja. Sehemu maaraufu zimekuwa zikibeba majina ya wanasiasa ambao wengine siyo waadilifu kabisa.Watanzania hatukosi lakusema aisee
Proud to be Mfugale...ha ha hakwa maana hiyo na wewe unatoka kuwa jinga lao na kuitwa mfugale
Heeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!Napendekeza jina la Mfugale Flyover lirekebishwe kuwa Patrick Mfugale Flyover. Sababu ni moja tu kuwa Mfugale wako wengi. Hivyo kutoa nafasi kwa Mfugale asiyehusika kunufaika na jina hilo. Mifano ni mingi kuhusu majina kuwa kamili au kuanza na herufi za kwanza.
Wewe sio mtu wa mjini (Dar es salaam) kile kibao kiliwekwa siku ya kwanza kabisa mwanzo wa daraja kushoto ukitokea airport kinasomeka "Eng. Patrick Mfugale Flyover' watu wana akili zaidi yako.Napendekeza jina la Mfugale Flyover lirekebishwe kuwa Patrick Mfugale Flyover. Sababu ni moja tu kuwa Mfugale wako wengi. Hivyo kutoa nafasi kwa Mfugale asiyehusika kunufaika na jina hilo. Mifano ni mingi kuhusu majina kuwa kamili au kuanza na herufi za kwanza.
Cha muhimu ni daraja jina sio issueHiyo inaonesha jinsi gani hatuko makini katika lolote!