Jina la Lowassa kurudishwa tena?

Jina la Lowassa kurudishwa tena?

Hahahhaha
 

Attachments

  • 1436593304587.jpg
    1436593304587.jpg
    21 KB · Views: 617
Jaji na Makongoro vipi tena? si walikuwa wameombwa?.. TZ2015UKAWA
 
Kamari kuu ilifanya mchujo wa kienyeji tu wengi wakekatwa kiaajabu ajabu tu , kikaa kilikaa kikiwa na majina machache badala ya majina 38 ina maana Matokeo yamepangwa nje ya Uwanja lile Goli la mkono la Nape hilo sasa linakuja .

na kweli goli la mkono
 
Wamekatwa 33 kwanini awe yeye tu?
 

Attachments

  • 1436594006317.jpg
    1436594006317.jpg
    16.3 KB · Views: 381
Tangu mwanzo ukiukaji wa taratibu ulikuwapo. Matumizi ya fedha yaliokithiri kwenye kutangaza nia tu. Kuanza kampeni kabla ya muda. Wajumbe wa halmashauri kuu kuwa wapiga debe wa mtia nia
Watia nia kuchochea wananchi. Maadam mlinyamazia ukiukwaji wa taratibu uliofanywa na mnaempenda, msilalamike tena
Hii unamaanisha utaratibu umebaki tuu UKAWA kwa sasa. Chama cha Mapinduzi hakina utaratibu tena? Nchi inaongozwa na watu wasio na utaratibu? Nchi inaongozwa bila utaratibu? Tafakari!!!
 
Bora walirudishe maana nchimbi, kimbisa na Sofia simba wameshakichafua
 
Leo nimefurahi sana japo kura yangu haijawahi kwenda ccm,ila sikupenda kabisa lile fisadi walipitishe bravooooooooooooooooooo ccm.
 
Kuna haja ya kutafuta pop corn hapa mana movie bado inaendelea kwa waliokatwa
AMESHAKATWA
 
Back
Top Bottom