Pharaoh
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 843
- 157
Watanzania wenzangu wenye mawazo mapya na wasiokumbatia kwa itikadi, kwa nini huu mji uitwe jina la kutukuza Sultani wa Zanzibar aliyekuwa anavusha watumwa kutoka kijiji cha MZIZIMA, na kwa jinsi biashara ilivyokuwa laini akaamua kuiita BANDARI YA SALAMA, kwani wazaramo hawajampa upinzani wowote kuichukua watumwa.
nchi ngapi Duniani zimebadili majina ya miji mikuu? au kwa sababu waliooongoza mji mkuu huu ni wazee wajinga wasiofikiri chochote bali ukubwa tu watukuzwe?
au ndio LAANA ya mwafrika inaendelea? nawaombeni kwa Heshima ya Babu zetu walioteswa na kufa, Tubadilishe jina hili la Adui aliyewatesa Babu zetu.
najua mtauliza, ndio, napendekeza turudishe jina lake la kale au tuchague haya:
1 Mzizima, jina lake la mwanzo kabla ya uvamizi wa waarabu.
2 Tanganyika, ili jina kubwa hili lisife, aminini Duniani linajulikana kuliko Tanzania.
3 Bongo, ni jina ambao linamaanisha ubongo wa akili, ni zuri
4 Tanzania, ili endapo muungano utavunjika hili jina lisipotee lishajulikana duniani.
5 Zaramo, wenyeji wa asili.
Naomba mashujaa wa Taifa wachangie.
nchi ngapi Duniani zimebadili majina ya miji mikuu? au kwa sababu waliooongoza mji mkuu huu ni wazee wajinga wasiofikiri chochote bali ukubwa tu watukuzwe?
au ndio LAANA ya mwafrika inaendelea? nawaombeni kwa Heshima ya Babu zetu walioteswa na kufa, Tubadilishe jina hili la Adui aliyewatesa Babu zetu.
najua mtauliza, ndio, napendekeza turudishe jina lake la kale au tuchague haya:
1 Mzizima, jina lake la mwanzo kabla ya uvamizi wa waarabu.
2 Tanganyika, ili jina kubwa hili lisife, aminini Duniani linajulikana kuliko Tanzania.
3 Bongo, ni jina ambao linamaanisha ubongo wa akili, ni zuri
4 Tanzania, ili endapo muungano utavunjika hili jina lisipotee lishajulikana duniani.
5 Zaramo, wenyeji wa asili.
Naomba mashujaa wa Taifa wachangie.