VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Ni Jimbo la Ludewa la Deo Filikunjombe. Mengine ni utata mtupu. Kuanzia Njombe Kusini na Njombe Kaskazini, Kilolo, Iringa Mjini na mengineyo katika mikoa hii, hali ya CCM si ile ya zamani. Sikuziona dalili za kulirejesha Jimbo la Iringa Mjini mikononimwa CCM.Wananchi wanataka kutuacha mkono. Mchungaji Msigwa bado ananguvu,ushawishi na mizizi.
Wanadai wametuchoka na kutaka kubadili chama cha kuwaongoza. Hatua za harakazapaswa kuchukuliwa. Wananchi wanadai kuwa walihudhuria mikutano ya timu ya KatibuMkuu Kinana ili kusikilizajipya.Hawakulisikia.Hawaoni chochote.Wamebaki kamazamani. Wamechoka yale yale. Wale wa Kalenga,hawajaona tumaini la Mbungempya-Mgimwa.
Kwa Deo Filikujombe, upinzani hauna nguvu kutokana na kukubalika kwa kijanahuyu. Filikujombe anapedwa na wana-CCM na hata wapinzani. Yuko salama na Jimbolake liko salama kwa CCM kulitetea mwaka 2015. Majimbo mengine humu Njombe naIringa ni utata kwelikweli.
Hali halisi humu mikoani ni 'tumbo-joto' kwa CCM yetu. Tusonge mbele tukitekeleza Ilani ili kurudisha matumaini ya wana-Njombe na Iringa kusalia madarakani 2015.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Njombe naIringa)
Wanadai wametuchoka na kutaka kubadili chama cha kuwaongoza. Hatua za harakazapaswa kuchukuliwa. Wananchi wanadai kuwa walihudhuria mikutano ya timu ya KatibuMkuu Kinana ili kusikilizajipya.Hawakulisikia.Hawaoni chochote.Wamebaki kamazamani. Wamechoka yale yale. Wale wa Kalenga,hawajaona tumaini la Mbungempya-Mgimwa.
Kwa Deo Filikujombe, upinzani hauna nguvu kutokana na kukubalika kwa kijanahuyu. Filikujombe anapedwa na wana-CCM na hata wapinzani. Yuko salama na Jimbolake liko salama kwa CCM kulitetea mwaka 2015. Majimbo mengine humu Njombe naIringa ni utata kwelikweli.
Hali halisi humu mikoani ni 'tumbo-joto' kwa CCM yetu. Tusonge mbele tukitekeleza Ilani ili kurudisha matumaini ya wana-Njombe na Iringa kusalia madarakani 2015.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Njombe naIringa)