Taja kijiji nikudadavulie...
Ila Makinda anapiga makombora ya Scud wapinzani wake ndani na nje ya chama chake na lazima atagombea tena
Chadema njombe haipo kabisa.. uwemba, igwachanya, makowo hakuna mwanachadema hata mmoja
Taja kijiji nikudadavulie...
Ila Makinda anapiga makombora ya Scud wapinzani wake ndani na nje ya chama chake na lazima atagombea tena
Ni Jimbo la Ludewa la Deo Filikunjombe. Mengine ni utata mtupu. Kuanzia Njombe Kusini na Njombe Kaskazini, Kilolo, Iringa Mjini na mengineyo katika mikoa hii, hali ya CCM si ile ya zamani. Sikuziona dalili za kulirejesha Jimbo la Iringa Mjini mikononimwa CCM.Wananchi wanataka kutuacha mkono. Mchungaji Msigwa bado ananguvu,ushawishi na mizizi.
Wanadai wametuchoka na kutaka kubadili chama cha kuwaongoza. Hatua za harakazapaswa kuchukuliwa. Wananchi wanadai kuwa walihudhuria mikutano ya timu ya KatibuMkuu Kinana ili kusikilizajipya.Hawakulisikia.Hawaoni chochote.Wamebaki kamazamani. Wamechoka yale yale. Wale wa Kalenga,hawajaona tumaini la Mbungempya-Mgimwa.
Kwa Deo Filikujombe, upinzani hauna nguvu kutokana na kukubalika kwa kijanahuyu. Filikujombe anapedwa na wana-CCM na hata wapinzani. Yuko salama na Jimbolake liko salama kwa CCM kulitetea mwaka 2015. Majimbo mengine humu Njombe naIringa ni utata kwelikweli.
Hali halisi humu mikoani ni 'tumbo-joto' kwa CCM yetu. Tusonge mbele tukitekeleza Ilani ili kurudisha matumaini ya wana-Njombe na Iringa kusalia madarakani 2015.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Njombe naIringa)
Ni Jimbo la Ludewa la Deo Filikunjombe. Mengine ni utata mtupu. Kuanzia Njombe Kusini na Njombe Kaskazini, Kilolo, Iringa Mjini na mengineyo katika mikoa hii, hali ya CCM si ile ya zamani. Sikuziona dalili za kulirejesha Jimbo la Iringa Mjini mikononimwa CCM.Wananchi wanataka kutuacha mkono. Mchungaji Msigwa bado ananguvu,ushawishi na mizizi.
Wanadai wametuchoka na kutaka kubadili chama cha kuwaongoza. Hatua za harakazapaswa kuchukuliwa. Wananchi wanadai kuwa walihudhuria mikutano ya timu ya KatibuMkuu Kinana ili kusikilizajipya.Hawakulisikia.Hawaoni chochote.Wamebaki kamazamani. Wamechoka yale yale. Wale wa Kalenga,hawajaona tumaini la Mbungempya-Mgimwa.
Kwa Deo Filikujombe, upinzani hauna nguvu kutokana na kukubalika kwa kijanahuyu. Filikujombe anapedwa na wana-CCM na hata wapinzani. Yuko salama na Jimbolake liko salama kwa CCM kulitetea mwaka 2015. Majimbo mengine humu Njombe naIringa ni utata kwelikweli.
Hali halisi humu mikoani ni 'tumbo-joto' kwa CCM yetu. Tusonge mbele tukitekeleza Ilani ili kurudisha matumaini ya wana-Njombe na Iringa kusalia madarakani 2015.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Njombe naIringa)[/QUOTE
Vipi kama mtatumia ile mbinu yenu ya wizi wa kura?
tuna makamanda wawili wanasubiri kipyenga tu , olle sosopi na chiku abwao , nakuambia hachomoki ! Ile mbinu yake ya kuwapa wananchi ulanzi imestukiwa !Vipi kwa Lukuvi, kunaingilika? Isimani?
fanyeni research msilopoke tu,halafu ikifika uchaguzi mnasema mmeibiwa kura,,upinzani njombe hakuna,
mfano mdogo ni njombe Magharibi..hili jimbo lilifunguliwa ofisi za Chadema kila baada ya mita mia, baada ya Nyimbo kujitoa chadema kwa kugombana na SLAAH, OFISI ZOTE ZIMEFUNGWA NJOMBE MAGHARIBI..sasa huo upinzani umetoka wapi? watu hawana hata ofisi moja jimbo zima unasema kuna upinzani?
Nilikuwa kwenye research yangu miezi miwili iliyopita vijiji vya jimbola njombe magharibi-ukianzia kitovu chenyewe kijiji cha ilembula hakuna chadema wala cuf wala tlp wala nccr,,
tusijipe matumaini na hawa wanaopiga kelele kwenye mitandao,mtu anasema upinzani ni nchi zima kumbe hajawahi hata fika kwenye vijiji vyenyewe ambako ukienda unashanga kila mtu ccm..hawa upinzani mikutano yao wamejitahidi sana wameishia tarafani huko kwenyewe kulikoungua shoka mpini ukabaki hawaendi
Filikunjombe anapigwa vita ndani ya ccm kwa misimamo yake, hatapitishwa na chama chake kugombea.
Chadema njombe haipo kabisa.. uwemba, igwachanya, makowo hakuna mwanachadema hata mmoja
Google translate au?
Aisee unajua nasikia kila kura moja ya ccm wanaona kama 2 na kila mbili za upinzani wanaona 1. Ni kaugonjwa ka kufantiwa research.
huo upinzani wanaosema uko wapi? tuache kuota ndoto za mchana,Njombe magharibi hakuna hata diwani mmoja wa upinzaniKwa anna makinda njombe katika madiwani 14 chadema wana diwani mmoja, ccm madiwani 13..
CHADEMA ilishinda udiwani kata ya Njombe mjini
huo upinzani wanaosema uko wapi? tuache kuota ndoto za mchana,Njombe magharibi hakuna hata diwani mmoja wa upinzani
Hujui usemacho au umekaririshwa mfano tu diwani wa Njombe mjini ni wa Chama gani? Mimi nipo Uwemba na ni mwanachademaChadema njombe haipo kabisa.. uwemba, igwachanya, makowo hakuna mwanachadema hata mmoja
huo upinzani wanaosema uko wapi? tuache kuota ndoto za mchana,Njombe magharibi hakuna hata diwani mmoja wa upinzani