Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Na kuna siku W. J. Malecela aliwahi kusema humu kuwa jimbo hilo sasa anapewa mwanadada nadhani ndio litapotea jumla if that's true
Pinda Chana-Naibu Waziri ndiye anapelekwa na CCM kumtoa Filikunjombe sababu CCM inadai yy ni mpinzani ndani ya chama!
Filikunjombe akienda CHADEMA atashinda lkn issue ni kuwa akipewa ama ubalozi au ukuu wa Mkoa/Wilaya je atakataa?
Last edited by a moderator: