The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,250
Kwa nature ya watu wa hapa tarime,hatukupaswa kuongozwa na magamba,tamaa za watu wachache zimetupotezea jimbo letu kwa miaka mi5,inaniuma sana hali hii hasa ninapoliona hili gamba walilolichagua linafanya madudu,rest in peace my brother CHACHA WANGWE,tutakukumbuka milele...Tarime is missing ur presence!