Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
Mlungula ulimshindisha
tarime kweli imekula kwenu, sikuamini nilipomsikiliza mbunge wenu kwa mara ya kwanza anakera na inaonekana ni mbumbumbu. Nililaani sana siku hiyo na sikuelewa ilikuwaje jamaa huyo alishinda. Nahisi mlikuwa na mvutano wa mambo ya koo ndo yaliyowaponza.