inasemekana jimbo la tarime liliuzwa kwa shilingi milioni tano na aliye pewa rushwa hyo alikuwa ni wakala wa chadema ambaye mke wake alipigwa chini kwenye kura za maoni ubunge viti maalumu kutokana na kuwa na elimu ndogo zidi ya mpinzani wake ambaye alikuwa na degree ingawa huyo aliyekuwa na elimu ndogo ndiye alikuwa ameshinda akaililia haki yake basi nao wakaona ni njia mbadala ya kuangamoza chama, ni habari zisizokuwa na uhakika lakini walio wengi ndivyo wanenavyo jinsi jimbo lilivyouzwa,