Jimbo la Tarime liliuzwa kwa shilingi milioni tano

zamlock

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
3,840
657
inasemekana jimbo la tarime liliuzwa kwa shilingi milioni tano na aliye pewa rushwa hyo alikuwa ni wakala wa chadema ambaye mke wake alipigwa chini kwenye kura za maoni ubunge viti maalumu kutokana na kuwa na elimu ndogo zidi ya mpinzani wake ambaye alikuwa na degree ingawa huyo aliyekuwa na elimu ndogo ndiye alikuwa ameshinda akaililia haki yake basi nao wakaona ni njia mbadala ya kuangamoza chama, ni habari zisizokuwa na uhakika lakini walio wengi ndivyo wanenavyo jinsi jimbo lilivyouzwa,
 
inasemekana jimbo la tarime liliuzwa kwa shilingi milioni tano na aliye pewa rushwa hyo alikuwa ni wakala wa chadema ambaye mke wake alipigwa chini kwenye kura za maoni ubunge viti maalumu kutokana na kuwa na elimu ndogo zidi ya mpinzani wake ambaye alikuwa na degree ingawa huyo aliyekuwa na elimu ndogo ndiye alikuwa ameshinda akaililia haki yake basi nao wakaona ni njia mbadala ya kuangamoza chama, ni habari zisizokuwa na uhakika lakini walio wengi ndivyo wanenavyo jinsi jimbo lilivyouzwa,
<br />
<br />

Source please!
 
inasemekana jimbo la tarime liliuzwa kwa shilingi milioni tano na aliye pewa rushwa hyo alikuwa ni wakala wa chadema ambaye mke wake alipigwa chini kwenye kura za maoni ubunge viti maalumu kutokana na kuwa na elimu ndogo zidi ya mpinzani wake ambaye alikuwa na degree ingawa huyo aliyekuwa na elimu ndogo ndiye alikuwa ameshinda akaililia haki yake basi nao wakaona ni njia mbadala ya kuangamoza chama, ni habari zisizokuwa na uhakika lakini walio wengi ndivyo wanenavyo jinsi jimbo lilivyouzwa,


za mitaani yo!!! za mitaani yo!!
 
Na unategemea tuendelee na hoja yako kwa kuparamia tu hivo sio??? Hebu jaza mapengo mengi yanayotuchungulia hayo ndio tupate pa kuanzia ndugu wa Tarime, tujuze zaidi.
 
inasemekana jimbo la tarime liliuzwa kwa shilingi milioni tano na aliye pewa rushwa hyo alikuwa ni wakala wa chadema ambaye mke wake alipigwa chini kwenye kura za maoni ubunge viti maalumu kutokana na kuwa na elimu ndogo zidi ya mpinzani wake ambaye alikuwa na degree ingawa huyo aliyekuwa na elimu ndogo ndiye alikuwa ameshinda akaililia haki yake basi nao wakaona ni njia mbadala ya kuangamoza chama, ni habari zisizokuwa na uhakika lakini walio wengi ndivyo wanenavyo jinsi jimbo lilivyouzwa,

Chomete ninaye mfahamu mimi wa pale tarime sio wa kubeba umbea umbea kama huu,....ukija hapa next time mbane ucho no obho shadihi tatigha obhorongo
 
Na unategemea tuendelee na hoja yako kwa kuparamia tu hivo sio??? Hebu jaza mapengo mengi yanayotuchungulia hayo ndio tupate pa kuanzia ndugu wa Tarime, tujuze zaidi.

Shida yake ajaze threads tu hapa hata kama ni kwa umbea na kudhalilisha jina hilo kubwa tarime,sijui kama ndio yeye mwenyewe au kavamia na jina
 
Chomete ninaye mfahamu mimi wa pale tarime sio wa kubeba umbea umbea kama huu,....ukija hapa next time mbane ucho no obho shadihi tatigha obhorongo
Nimecheka! Maana nimekumbuka na yale ya Mwl. mubishabisha obhorwaire ekiriro kiramuubura! Ila kweli watu waache kubeba urongo na kuuleta hapa, maana wengine watadhani uongo ule ndio ukweli.
 
Back
Top Bottom