mzawahalisi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2010
- 752
- 238
Umeambiwa utoe details we unakuja na ID nyingne ukisema una shamba na nyumba, hizo ndo details za jimbo?
Misifa itakuua mdogo wangu Willy a.k.a Le mutuz.
Judi unaongea na wapiga kura wa segerea.@ spencer na allien.
acheni kujidanganya.
- Nimesema na ninarudia, Mimi ni a Politician na pia a big Public Figure!
Willie @DSM City!
Wewe sio MWANASIASA bana. Wewe ni mganga njaa tu ndo maana unahangaika mara EALA mara Segerea. Ukweli ndio huo japo unauma. Siwezi kuwa na hatred, wivu, chuki na hasira kwa FAILURE wa aina yako mkuu. Umefail katika kila kitu! Umefail katika maisha, familia, siasa n.k what next?.
- Kuna dalili kubwa sana kwamba huenda hili jimbo likaishia kuwa open soon, I hope CCM wana plan B in works!, na siamini CDM watasimamisha the same candidate, lakini muhimu CCM wakaaanza kufikiria plan B! now!
Es!
- Yale yale tu hatred, wfivu, chuki na hasira za maisha huko majuu, ha! ha! ha! sure jina langu huku bongo ni kubwa stricly kwa sababu ya JF, sijaasema ninataka kugombea anything isipokuwa nimeuliza plan B ya CCM incase jimbo la Segerea ambako ni home kwangu, likibaki wazi!
- Again ninakuommba wewe na wengine wengi humu msinifundishe siasa za uoga na ufisi wa kuogopa kusema, hapana nikitaka anything au nisichokitaka ninasema hapa JF bila kuogopa mtu, wewe endelea kunivizia huko Facebook na majina ya bandia na hapa kuja kulia lia kuhusu umaarufu wangu, pole sana mwendo wangu ni ule ule haubadiliki kwa sababu ya wewe kuwa na hasira za kuuuza maduka huko majuu sio kosa langu!
- Otherwise, KUMBUKA MTI USIO NA MATUNDA MAZURI HUWA HAURUSHIWI MAWE, ISIPOKUWA ULE TU WENYE MATUNDA SUPER! ha! ha! ha ha!
Willie @DSM City!
Judi unaongea na wapiga kura wa segerea.
Anzia matumbi,tbt bima,mawenzi na Kimanga. Baracuda,MK bar,Kwa bibi na Seminari Mahanga Hakubariki!
Ugombolwa ndo hivyo Allieni anabana kinyerezi nako ni taiti.
Kisukuru nako niseme??????
Wewe tulia
- Zinaitwa kelele za mlango hujawahi kunizuia anything, mwendo wangu ni mdundo sana mkuu. Leo nilikuwa UDSM kesho chuo cha Diplomasia Kurasini, wewe kaaa kupiga kelele hapa mimi mwendo ni mdundo ninaenda kwa mbele!
- Segerea ni home nina shamba na nyumba, Mtera ni home original, Dodoma mjini ni home ndipo ninapoishi zaidi, so nafasi ni nyingi sana, karibu sana kwenye mbio!
Willie @DSM City!
Anatafuta bwana huyo achana naye, usipoteze muda wako kumjibu mtu ambaye akili zake half empty glass shake well before use.Judi unaongea na wapiga kura wa segerea.
Anzia matumbi,tbt bima,mawenzi na Kimanga. Baracuda,MK bar,Kwa bibi na Seminari Mahanga Hakubariki!
Ugombolwa ndo hivyo Allieni anabana kinyerezi nako ni taiti.
Kisukuru nako niseme??????
Wewe tulia
- Huku kwenye vyuo vikubwa hujipeleki ni lazima uitwe na kiwepo kibali cha Utawala, so pole sana mkuu wangu, tunaenda kuongea sera na wananfunzi na waalimu wao, impact ya bungeni siku ile ilikuwa kubwa sana kuliko uwezo wako wa kuona na kufikiri, pole sana mwendo ni mdundo!
- Na next week nitakuwa Mzumbe, kama kawaida!
Willie @DSM City!
Anatafuta bwana huyo achana naye, usipoteze muda wako kumjibu mtu ambaye akili zake half empty glass shake well before use.
- Kuachana na mke unless kama mimi wa kwanza Duniani, sawa lakini sioni ishu yoyote hapo zaidi tu ya kelele za mlango!
Willie @DSM City!
Naona leo ni Matola na Balatanda dhidi ya @NYC. Sijamuona Waberoya. Hii inanikumbusha uzi fulani ambapo @NYC na Wabe walivyopambana hadi wakaishia kwenye Ban!
Asikupotezee muda huyo jamaa, amekimbia child support US anadhani Bongo bado tunapiga kula kwa kuangalia majina ya watu, hana ubavu hata wa kufurukuta ndani ya mchakato wa CCM.Mke wako tu umeshindwa kumuongoza hadi amekukimbia, utaweza kuongoza wakazi wa Segerea au Mtera?
Waberoya comment zako zinahitajika hapa.
Mkuu Kimbunga,
Siku hizi Waberoya yupo kwenye ile group maarufu ijulikanayo kama Rejao & Co Ltd. So katika mijadala kama hii huwezi kuona hilo group likicoment chochote lakini subiri TUNTEMEKE alete thread yake ndiyo wanaibuka!
Mahanga mwenyewe licha ya kuiba kura alishindwa na hatumtaki Segerea hata yeye anajua ndo maana hata Segerea huwa hakai na akija hutia timu midnite.
Segerea ina wenyewe msijishaue.
Inatakiwa umuignore, amejaribu kujipendekeza kwangu nimempotezea hiyo ndiyo njia sahihi za kudeal na watu mazuzu kama huyu. hakuna adhabu kubwa duniani kwa mtu mjinga zaidi ya kumdharau.
Duh! Sophia Simba wapo wengi!
Duh! Sophia Simba wapo wengi!