james chapacha
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 939
- 200
wana njombe kusin wengi wao niwacha mungu,{soma zakaria 5.1-14}maneno yaliyo wakimbiza wananjombe.
Uzuri hata Kinana mwenyewe aliwaona wale wabena na kimsingi wanayo maendeleo ukilinganisha na sehemu zenye nyumba za tembe kama kwenye jimbo la Mwigulu nchemba.Watu wake maskini ana hangaika na Mbowe ambaye jimbo lake lina maendeleo makubwawatachota maji na gunia
Kura ni siri ya mtu, ila kusema hatuitaki ccm wengine ni kufuata mkumbo tu
Hata ccm Imechoka inashindwa kukaa kwenye mfereji.Itoke iingie nyingine jamaniwananjombe wakataeni kama walivyo wakataa maeneo mengine ya nchi
Kwa Ubora Makweta alikuwa ni bora kuliko Deo ila tatizo ni kuwa alikaa muda mrefu watu walikuwa wamemchoka,atleast aliweza kuhamasiha ujenzi wa shule za wazazi kila tarafa chini ya NDDT ila Huyu Jah people sijui aliingia kwenye Ubunge kwa malengo ganiTaarifa zaidi zina eleza kuhusu Deo Sanga wa Njombe Kaskazini kuwa hilo jimbo lilikuwa la Makweta.Na kabla hajawekwa kwenye kugombea,Makweta aliwaambia kwa kibena Mnatoa ng'ombe inayo lima ambayo imo kwenye mfereji na ina ujua mkisema imezeeka.Mnaingiza kwenye mfereji Ng'ombe ambayo imezeeka kuliko ya kwanza halafu mfereji haiujui mkidhani italima vizuri.akimaanisha walisema yeye amezeeka wakati Deo naye kazeeka na hana uzoefu