Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,287
- 10,700
RIP Dr.Hilman Ndembelwa Ngunangwa Mbunge wa Njombe Kusini 1990-1995.
Amefariki usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya taifa Muhimbili.
Taratibu za kusafirisha msiba kurudi Njombe zinafanyika Nyumbani kwake Changanyikeni Dar.Msomi wa masuala ya Uongozi,hata kuwa na Phd ya ukweli/jasho, Dr Hilman Ndembelwa Ngunangwa. Ambaye alikuwa Mhadhiri ktk Chuo cha MANTEP, Bagamoyo hadi 1990 alipogombea na kushinda nafasi ya ubunge Jimbo la Njombe-Kusini.
Kabla ya kushindwa kwa kuchakachuliwa na CCM+Anne Makinda 1995, itakumbukwa kuwa akiwa Bungeni, yeye alikuwa ni miongoni mwa wale Wabunge 55 walioitaka serikali ya Tanganyika irudishwe. Wabunge wengine walikuwa ni Njeru Kasaka na Pius Msekwa.
Amefariki usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya taifa Muhimbili.
Taratibu za kusafirisha msiba kurudi Njombe zinafanyika Nyumbani kwake Changanyikeni Dar.Msomi wa masuala ya Uongozi,hata kuwa na Phd ya ukweli/jasho, Dr Hilman Ndembelwa Ngunangwa. Ambaye alikuwa Mhadhiri ktk Chuo cha MANTEP, Bagamoyo hadi 1990 alipogombea na kushinda nafasi ya ubunge Jimbo la Njombe-Kusini.
Kabla ya kushindwa kwa kuchakachuliwa na CCM+Anne Makinda 1995, itakumbukwa kuwa akiwa Bungeni, yeye alikuwa ni miongoni mwa wale Wabunge 55 walioitaka serikali ya Tanganyika irudishwe. Wabunge wengine walikuwa ni Njeru Kasaka na Pius Msekwa.