Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 724
- Thread starter
- #21
Unao waona kwenye picha waliletwa na fuso lililotumwa kusomba watu toka Uwemba ambalo lilifanikiwa kurudi
Kama Kinana na Nape wanao aminika wana weza kuvuta watu wanaweza kupata idadi hii kweli ccm siimeisha?![]()
Umeona hapa ni Njombe alikuwepo Kinana, Nape na Migiro alijaza nyomi uwanja huu
CCm ina zidi kupata wakati mgumu majimbo mbalimbali nchini likiwemo hili linalo ongozwa na spika Anne Makinda.viongozi wa ccm wanajaribu kuiokoa hali hiyo lakini bado mambo ni magumu muno!Ikumbukwe ni majuzi tu Katibu mkuu wa ccm mwenyewe alijionea hali hiyo alipo jaribu kwenda kubadili upepo lakini wale wa bena walimkatalia katakata kuhutubiwa.Kwa watu wanao fahamu tabia ya wabena nasikia ni wagumu muno kudanganywa.Kumbuka hata jaribio la kusomba watu watu jimbo la jirani la Deo Sanga kule Lupembe napo ilishindikana baada ya mafuso kukwama kutokana na mvua kubwa iliyo nyesha. Ali sikika mtu mmoja akisema tatizo wa bena wakiona unawadanganya hata ukiwasalimia Kamwene hawakuitikii.Mtu aliye karibu na siasa za Njombe anasema huenda ndiyo sababu Anne Makinda hataki kugombea tena.Aliongeza kusema afadhali kidogo Wahehe wanaweza kupokea hela ingawa nao kura hakupi.Lakini mbena akikukataa hata hela hawataki.Mama Makinda anawajua sana ndiyo maana hataki kurudia akihofu kuaibika
teh teh,mbavu zangu mie!CCM IMEKATALIWA KILA MAHALI , imebaki yale maeneo ambayo SAHANI YA UBWABWA ni muhimu kuliko madawati , ni kule IRAMBA NA KONDOA TU .
Mama Makinda alisema kuwa hatogombea tena Ubunge kwani wananchi wanamwomba sana pesa kila kaienda jimboni, nadhani ni uamuzi mzuri apumzike na alinde hadhi yake au asije akawa anataka agombee uspika 2015, kama alivyofanya Pius Msekwa 2000.
Teh teh, subirini maccm wamwage mapesa mwaka 2015 hapo njombe kama wabena hawatachanganyikiwa na kutoa kura kwa wingi kwa maccm kama wamelewa!
Wabena mizigo hawataki,wamejitwisha li ccm muda mrefu wanasema ya tosha....
....Mzigo ukikuelemea utupe!!!!
Mama Makinda alisema kuwa hatogombea tena Ubunge kwani wananchi wanamwomba sana pesa kila kaienda jimboni, nadhani ni uamuzi mzuri apumzike na alinde hadhi yake au asije akawa anataka agombee uspika 2015, kama alivyofanya Pius Msekwa 2000.
Mama Makinda alisema kuwa hatogombea tena Ubunge kwani wananchi wanamwomba sana pesa kila kaienda jimboni, nadhani ni uamuzi mzuri apumzike na alinde hadhi yake au asije akawa anataka agombee uspika 2015, kama alivyofanya Pius Msekwa 2000.