Jimbo la Chato kusini hatarini kudondoa mikononi mwa muhitimu wa darasa la 4 B

Jimbo la Chato kusini hatarini kudondoa mikononi mwa muhitimu wa darasa la 4 B

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,312
Reaction score
55,969
CCM tumewachoka
Mmetengeneza jimbo jipyala Chato kusini kwa lengo la ajabu sana.

Iko hivi,kuna mgombea mmoja tajiri wa madini ya dhaabu Pascal Lutandura ambaye aliishia darasa la 4 B lakini ana pesa za kutosha ameandaliwa jimbo hilo.

Bwana Lutandula ni mjumbe wa NEC taifa,ana network na pesa za kutoshaila hawezi hata kusoma sentensimojakwenye kitabu cha Hawa the bus driver.au Mabala the farmer.

Mbunge kama huyu atawasaidia nini wana Chato Kusini?
 
CCM tumewachoka
Mmetengeneza jimbo jipyala Chato kusini kwa lengo la ajabu sana.
Iko hivi,kuna mgombea mmoja tajiri wa madini ya dhaabu Pascal Lutandura ambaye aliishia darasa la 4 B lakini ana pesa za kutosha ameandaliwa jimbo hilo.

Bwana Lutandula ni mjumbe wa NEC taifa,ana network na pesa za kutoshaila hawezi hata kusoma sentensimojakwenye kitabu cha Hawa the bus driver.au Mabala the farmer.

Mbungekama huyu atawasaidia nini wana Chato Kusini?
Kwa nini hii kanda inatoa sana wabunge wa aina hii??
Musukuma, Shigongo, Kishimba!
 
CCM tumewachoka
Mmetengeneza jimbo jipyala Chato kusini kwa lengo la ajabu sana.
Iko hivi,kuna mgombea mmoja tajiri wa madini ya dhaabu Pascal Lutandura ambaye aliishia darasa la 4 B lakini ana pesa za kutosha ameandaliwa jimbo hilo.

Bwana Lutandula ni mjumbe wa NEC taifa,ana network na pesa za kutoshaila hawezi hata kusoma sentensimojakwenye kitabu cha Hawa the bus driver.au Mabala the farmer.

Mbungekama huyu atawasaidia nini wana Chato Kusini?
Huyu ni Mtanzania na tunamkaribisha sana kwenye Ubunge.
 
CCM tumewachoka
Mmetengeneza jimbo jipyala Chato kusini kwa lengo la ajabu sana.
Iko hivi,kuna mgombea mmoja tajiri wa madini ya dhaabu Pascal Lutandura ambaye aliishia darasa la 4 B lakini ana pesa za kutosha ameandaliwa jimbo hilo.

Bwana Lutandula ni mjumbe wa NEC taifa,ana network na pesa za kutoshaila hawezi hata kusoma sentensimojakwenye kitabu cha Hawa the bus driver.au Mabala the farmer.

Mbungekama huyu atawasaidia nini wana Chato Kusini?
Kujenga vyoo vya shule na magulio!
 
CCM tumewachoka
Mmetengeneza jimbo jipyala Chato kusini kwa lengo la ajabu sana.
Iko hivi,kuna mgombea mmoja tajiri wa madini ya dhaabu Pascal Lutandura ambaye aliishia darasa la 4 B lakini ana pesa za kutosha ameandaliwa jimbo hilo.

Bwana Lutandula ni mjumbe wa NEC taifa,ana network na pesa za kutoshaila hawezi hata kusoma sentensimojakwenye kitabu cha Hawa the bus driver.au Mabala the farmer.

Mbungekama huyu atawasaidia nini wana Chato Kusini?
Tayari kwa pesa zake kashawaajiri vijana.

Afadhali huyu kuliko wenye masters wasio na msaada wowote kwa jamii.
 
CCM tumewachoka
Mmetengeneza jimbo jipyala Chato kusini kwa lengo la ajabu sana.
Iko hivi,kuna mgombea mmoja tajiri wa madini ya dhaabu Pascal Lutandura ambaye aliishia darasa la 4 B lakini ana pesa za kutosha ameandaliwa jimbo hilo.

Bwana Lutandula ni mjumbe wa NEC taifa,ana network na pesa za kutoshaila hawezi hata kusoma sentensimojakwenye kitabu cha Hawa the bus driver.au Mabala the farmer.

Mbungekama huyu atawasaidia nini wana Chato Kusini?
Yule mtoto wa marehemu atagombea Jimbo gani? Mbona katangaza Nia juzi?
 
CCM tumewachoka
Mmetengeneza jimbo jipyala Chato kusini kwa lengo la ajabu sana.
Iko hivi,kuna mgombea mmoja tajiri wa madini ya dhaabu Pascal Lutandura ambaye aliishia darasa la 4 B lakini ana pesa za kutosha ameandaliwa jimbo hilo.

Bwana Lutandula ni mjumbe wa NEC taifa,ana network na pesa za kutoshaila hawezi hata kusoma sentensimojakwenye kitabu cha Hawa the bus driver.au Mabala the farmer.

Mbungekama huyu atawasaidia nini wana Chato Kusini?
Kmmmk hii nchi. Hii nchi ni channel ya vichekesho huko peponi
 
Back
Top Bottom