...dalili kuu ya kifaduro cha ukubwani.
...dalili kuu ya kifaduro cha ukubwani.
Unahakika hutaki kulelewa kwa hilo jimama
maisha yangu me naweza kuyamudu mwenyewe coz ninamipango yangu inayonisaidia kuyakimu mahitaji yangu na kusonga mbele....sema sijui kwanini nikikamata mtu aliye nizidi umri nakua huru sana....yani nimekumbwa na mzuka huo tuu.
dalili mbaya hiyo utakuja anza 'kurefusha' shauri yako
alafu visichana havichelewi nirushie tigo pesa nina viatu vizuri nimeviona town mala nataka savana tano leo jioni...
Usafiri wa tabu ni kodi tax me nimechoka bana....
Jimama utasikia upo wapi?unaweza kufika leo?we unakula bata unarudi kama padri vile full mtiifu.
mambo ya ngono zembe yamechukua mkondo
Unapenda kulelewa
hahahah umenifurahisha sana maana.....da kifadulo ni ugonjwa gani tena hahahaha.