Jim Ike atangaza rasmi kusilimu

Jim Ike atangaza rasmi kusilimu

Pale unaniita kafil haafu unaniomba msaada WA kufuturu........hakika wewe ndiyo kafiri na najis kabisa
 
Muigizaji uigiza chochote hata kubadili dini
 
Pamoja na propaganda za watu wa magharibi bado watu wanasilimu.
Waislam japo sio wote ni watu wasiojiamini hasa katika Dini Yao! Kuna mamia ya Waislam wanakua wakristo Kila siku wengine tunawaoa lakini huwezi ona wakristo wakitamba eti Muislam kabadili Dini! Wasabato wanaongoza kuwa na idadi kubwa ya Waislam waliobadili Dini na kua wakristo lakini huoni kelele!
 
Waislam japo sio wote ni watu wasiojiamini hasa katika Dini Yao! Kuna mamia ya Waislam wanakua wakristo Kila siku wengine tunawaoa lakini huwezi ona wakristo wakitamba eti Muislam kabadili Dini! Wasabato wanaongoza kuwa na idadi kubwa ya Waislam waliobadili Dini na kua wakristo lakini huoni kelele!
Wenzetu huwa wanatuwekea takwimu. We unaleta porojo la maneno matupu.
 
Waislam japo sio wote ni watu wasiojiamini hasa katika Dini Yao! Kuna mamia ya Waislam wanakua wakristo Kila siku wengine tunawaoa lakini huwezi ona wakristo wakitamba eti Muislam kabadili Dini! Wasabato wanaongoza kuwa na idadi kubwa ya Waislam waliobadili Dini na kua wakristo lakini huoni kelele!
Inferiority complex inawasumbua wasemehe bure waombee neema ya Bwana Yesu kristo waweze kurejea kundini mwake.

Dini ya kweli inafundisha upendo na amani kwa watu wote ukiona dini inafundisha kuwauwa na kuwatenga wasio amini dini yako ujue hiyo ni dini ya ibilisi mwenyewe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wenzetu huwa wanatuwekea takwimu. We unaleta porojo la maneno matupu.

Hizi ni Takwimu za Waislam katika Nchi ulizozitaja Kulingana na World Population Review! Kwa Mwaka 2022.

Tanzania - 19,426,814 Kati ya Watu 63,298,550
America - 3,450,000 kati ya watu 334,805,269
United Kingdom -4,130,000 Kati ya Watu 68,497,907
Italy - 2,987,840 kati ya Watu 60,262,770
Belgium- 879,377 Kati ya Watu 11,668,278
Netherlands - 880,000 Kati ya Watu 17,211,447
Australia - 650,000 Kati ya Watu 26,068,792
Greece -613,406 Kati ya Watu 10,316,637
Russia - 20,000,000 Kati ya Watu 145,805,947
France - 5,720,000 Kati ya Watu 65,584,518
German - 4,750,000 Kati ya Watu 83,883,596
 
Dini Ya Bwana Mudi
Islam Dini

DINI ya Haki
Haa Haa
 
Hivi ingekua wanabadilisha Dini Kwa kasi hiyo Tangu Miaka Hiyo Huoni nusu ya Ulaya na Marekani Sasa ingekua ni Waislam tupu? Tambua Uislam ukikua vilevile na Ukristo unakua pia vilevile.

Hizi ni Takwimu za Waislam katika Nchi ulizozitaja Kulingana na World Population Review! Kwa Mwaka 2022.

Tanzania - 19,426,814 Kati ya Watu 63,298,550
America - 3,450,000 kati ya watu 334,805,269
United Kingdom -4,130,000 Kati ya Watu 68,497,907
Italy - 2,987,840 kati ya Watu 60,262,770
Belgium- 879,377 Kati ya Watu 11,668,278
Netherlands - 880,000 Kati ya Watu 17,211,447
Australia - 650,000 Kati ya Watu 26,068,792
Greece -613,406 Kati ya Watu 10,316,637
Russia - 20,000,000 Kati ya Watu 145,805,947
France - 5,720,000 Kati ya Watu 65,584,518
German - 4,750,000 Kati ya Watu 83,883,596
Hiyo Tanzania takwimu umezitoa wapi kwa 2022? Naona unafanya vitu kimihemko. Mi nimekuwekea data we unaleta 'assumption'.
 
Nimegundua habari hii ni ya uongo baada ya kumfatilia jimmy ike mitandao yake yote [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyu mwandishi kajitungia tu
Si unajua waislam kusema uongo ni kawaida
 
Acheni kutunga habari zako jana kapost thank you Jesus kwenye kurasa yake moja na ukiingia insta hakuna kitu kama hicho [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji3] yaani umeamua kumtungia mtu wa watu kwa habari za uongo[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]
Hawa jamaa kwa kutunga ni nouma walishasemaga messi na ronaldo ni waislam.
 
Wewe umeleta Takwimu au Habari? Kwa taarifa Yako Kuna mashirika Duniani Huwa yanakusanya Hizi Taarifa hasa Yale ya kimataifa! Unafkiri wanatoa wapi takwimu za Mataifa yenye Furaha Duniani? Au Taarifa za Idadi ya Wanyama au ndege wa aina Fulani! Au kama ile ripoti ya Pandora iliyofichua Mali za Viongozi zilizofichwa Ughaibuni? Hii sensa tunayofanya tunafanya kwasababu ni Utaratibu wa Kikatiba lakini Kuna mashirika yanatakwimu Kbsa ya Idadi iliyopo!
Usiwe unaropoka vitu. Ongea kutumia akili. Hiyo takwimu unazichukua kwa mtindo gani kujua huyu dini gani bila kupata ushirikiano kutoka kwenye serikali husika? Usiwe unaleta porojo kijana.
 
[emoji23][emoji28][emoji2] pale unapowehuka unaacha kuvaa moka yako safi suti kali na miwani safii gafla unaanza kuvaa makobazi, mashuka, vilemba na vipedo
 
PALIPO NA SHERIA KALI ZA DINI, KUNA UHARIBIFU.!!

TAZAMA PALE VISIWANI, PAMEJAA MASHOGA NA WAFI.RAJI
ANGALIA MATESO YA WATU WEUSI KURE ARABUNI
 
Back
Top Bottom