Jiko la kuni mkuuJiko la umeme au kuni? Fafanua zaidi.
Asante mkuu nitafanyia kazi ushauri wako. Mambo yakikamilika nitawaambia wana JF waje kuonja pizza. Nashukuru sana mkuu.cheki wajenzi mbalimbali na uwaulize gharama zao then utalinganisha bei zao na utaamua. pia waweza tembelea mgahawa wenye jiko na ukamuuliza owner kuhusu jiko la pizza. ukikamilisha ututaarifu mkuu tuje kununua misosi
Thanks king'asti nitawatafuta pia hao jamaa nijue wanafanyaje.jiko la pizza linakua kama tanuru fulani. ungeweza kuwacheki tatedo (wako nyuma ya ustawi wa jamii, baada ya hongera bar). unaweza kuwacheki na sido ama veta.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us