INAUZWA Jijini Mwanza: Mfalme zuma anauza pikipiki yake King Lion 1,800,000

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Oct 31, 2021
4,138
10,539
Pikipiki ni King Lion
Cc 150 Gia 5
ametembea mwaka mmoja
Hana shida yoyote njoo na hela yako tu

Engine nzima kabisa

1,800,000

Nipo Nae machinjioni hapa

0713096076

IMG_20220403_072020_945.jpg
IMG_20220403_072030_482.jpg
IMG_20220403_072039_567.jpg
IMG_20220403_072050_358.jpg
IMG_20220403_072058_469.jpg
IMG_20220403_072116_432.jpg
IMG_20220403_072124_240.jpg
 
Number C unasema imetumika mwaka mmoja kiongozi?, kwa sasa tuko E. Hiyo bei ni ngumu kupata mteja huku JF labda FB. Samahani kwa kukukwaza ila pikipiki hiyo ina zaidi ya miaka miwili.
 
Number C unasema imetumika mwaka mmoja kiongozi?, kwa sasa tuko E. Hiyo bei ni ngumu kupata mteja huku JF labda FB. Samahani kwa kukukwaza ila pikipiki hiyo ina zaidi ya miaka miwili.
Umesoma kadi yake ama unaongea tu mkuu?

halafu mkuu hebu tuoneshe hio pikipiki yenye usajili wa E😅😅😅
 
Number C unasema imetumika mwaka mmoja kiongozi?, kwa sasa tuko E. Hiyo bei ni ngumu kupata mteja huku JF labda FB. Samahani kwa kukukwaza ila pikipiki hiyo ina zaidi ya miaka miwili.
Pikipiki namba D bado hazijatoka

Ova
 
Bila Upako wa Mfalme Zuma hiyo pikipiki haitoki kwa hiyo bei
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom