Jiji la Mwanza

Jiji la Mwanza

ndomana nkwambia bado huijui vizuri au resaerch hukuzunguka maeneo sahihi
1.kuhusu usafi hili jiji sasa nadhani ndo jiji chafu kasoro Dar ndo chafu duniani haliwezi kutushinda.kwanaza kabisa pita hata sasahivi mitaa ya kauma utakuta jiji lilio jaza wa chuuzi wa matunda na vyakula(kama mahindi)pamoja na hawa wa viatu na nguo wamepnga barabarani bila hata ustaarabu na hili pia ni uchafuzi wa mji,pia kuna chemba kibao zinamwaga majitaka yanayoingia barabarani hasa hii barabara ya pamba.

2.kwa vijana wanaotumia dawa za kulevya nenda stand zote za jiji utawakuta,ukitaka kujua zaidi jaribu kutembelea kirumba mtaa wa khalfani,uhuru,mviringo,kilimahewa big bite utayakuta haya
3.uvaaji hovyo upo sana tu hasa kwa hawa madada zetu wa ofisini ndo hodari,kwa wavaa supra na skini jeans na milegezo pia wapo idadi kubwa ni madogo wa sekondari

4.kwamadada poa fika deluxe,villa,vituguu(soko kuu),au bar yoyote ilio na live band utawanyaka wakumwaga au nenda pale igoma bar yoyote ile utakuta hawa wadada tena wanakonyeza wenyewe

5.starehe kunaviwanja vingi tuu,ukitaka mziki skuizi kila mtaa una club nini,ila ukitaka kwa quality ndo usogee sasa pale JB,Rockbottom,Fusion,Vill park...

Mwisho kabisa hakuna jiji kama Rock city

Asante kwa maelezo yako ya nyongeza,ila mim kwa mda niliokuepo mwanza huo ndio mtazamo wangu,wala lengo langu halikua kufanya study ya jiji la mwanza,km ningefanya study ningeibuka na mambo mengi zaidi.
 
Tutazeekea wote hapo Mkuu! Ila mpaka tufikie hapo viwanja si watakuwa wanapima Misungwi au Nyanguge? Maana maeneo ya karibu na jiji yatakuwa yamejaa! Ila kuna taarifa niliisikia kuwa karibia wanavuka ng'ambo ya ziwa upande wa Sengerema, yaani Kamanga, Kabuholo, Busisi n.k kote huko liwe jiji. Hii ni ndani ya miaka 10 ijayo.

Muda wa kununua viwanja ndiyo huu mkuu, lakini hata hivyo siridhiki na kibanda changu kilipo, uzeeni haitakiwi sehemu yenye msongamano, inatakiwa jirani wa karibu kabisa awe umbali wa lau mita mia kutoka nyumbani kwangu, hivyo tukienda busisi haina shida mkuu, ila mimi ndoto yangu ni kupata kisiwa kidogo au hata kijipenisula nijenge mjengo wangu nitulie tuliii!
 
Hakuna Mkuu! Haombwi radhi mtu hapa namtetea mleta mada! Kwani uongo sasa kwamba wadada wa Darisalama ndani ya mtongozo wa saa 1 unakuwa umetafunwa? Tuna ushahidi bwana! Big up mleta mada kwa kuwafagilia dada zetu Mza!

umetongoza wangapi mpaka sasa
 
Muda wa kununua viwanja ndiyo huu mkuu, lakini hata hivyo siridhiki na kibanda changu kilipo, uzeeni haitakiwi sehemu yenye msongamano, inatakiwa jirani wa karibu kabisa awe umbali wa lau mita mia kutoka nyumbani kwangu, hivyo tukienda busisi haina shida mkuu, ila mimi ndoto yangu ni kupata kisiwa kidogo au hata kijipenisula nijenge mjengo wangu nitulie tuliii!
Inawezekana mkuu uzuri kwa Mwanza hata kama hapajapimwa ila master plan ipo ambayo inaonyesha kila kitu hivyo hujachelewa na unachotakiwa ni kutafuta eneo ila kabla ya kutoa hela unamwita mtu wa ardhi ili aangalie kwenye master plan kama eneo hilo limepangwa kwa makazi ya watu, viwanda au taasisi maana usijekununua leo alafu baada ya miaka 5 wanakuja kufanya tathimini mlipwe fidia wanataka kujenga hospitali au kiwanda cha kuchakata gas
 
umetongoza wangapi mpaka sasa
Inabidi muwe mnawapiga kibuti sasa, maana mtu akitongoza sehemu akafanikiwa anakuja na story mademu siku hizi ni machangu kumbe yeye mtongoza wengi ndo hajatulia kilichotokea ukute warembo walimwona somebody na wanaweza wakafanya maisha hivyo wakatumia haki yao ya msingi ya kumpenda bila kujua kama jamaa ni mzee wa kutongoza ovyo
 
Na wanaume wa Mwanza sio tongozatongoza kama mtoa mada ambae siku chache alizokaa mwanza kamaliza wanafunzi wa CBE, SAUT, wafanyakazi wa benki...tunamlaani kwa kuchangia kwake ongezeko la maambukizi

Ha ha haaaaaa uyo kweli tongozatongoza wiki tu kishapata data zote za mapenzi uuuwi
 
wapo ila sio wengi sana,wanapatikana maeneo ya karibu na gold crest hotel,new mwanza hotel ila sio wengi km wale wa kinondoni,sinza huko dar

Obvious kila kitu uko ulikokwenda hakiwezi kuwa kingi au kikubwa ukilinganisha na jiji km dar coz dar ni kubwa zaid na pia ina population kubwa coz imebeba almost watu wa mikoa yote sehem moja.
 
Kube atasubiri tu, watu wanakomaa asee!lol
Wee kaache karopoke!

Hakajawahi kukutana na ving'ang'anizi mpaka kanaachia mzigo huku kakisema nakupa mara moja tu usirudie tena kuning'ang'ania hivyo!!!
 
Back
Top Bottom