Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,900
- 28,015
Hakuna jiji kama Arusha....Kwasasa Arusha ni mji msafi sana..
Mambo yote Mbeya. mwanamke kabla hata hajatongozwa chini kumeshaloa na gesti anakuonyesha na kuongoza mwenyewe
Mwanza oyeeeeeeeee
Sista naona wa mwanza mnaanza kujitokeza mmojammoja!!Mwanza oyeeeeeeeee
Big Up MWANZA MWANZA
hahahaha big up bro bonge la research linI unakwenda mtwara na lindi
Hakuna jiji kama Arusha....Kwasasa Arusha ni mji msafi sana..
Duh! Ngoja wenyewe waje...
sasa ulijuaje demu wa mwanza unampata ndani ya cku 3 na wa benki masaa tu?
Umenikumbusha mengi mkuu kuhusu mwanza...jiji moja zuri sana kula bata..
Mtoa mada ni internal auditor wa benki flani. sasa wale wa benki walimpapatikia kumkata makali akajua wote Mza wako hivyo. Sio kaka
Mwanza tupo juu kwa kweli
Hakuna jiji kama Arusha....Kwasasa Arusha ni mji msafi sana..