Jiji la Mbeya kama kijiji

Jiji la Mbeya kama kijiji

Nimekaa Arusha miaka 2,nashangaa kusikia Arusha hamna vumbi,pita mianzini nenda Ilboru,Olturoto,Olturerei ,Sakina zamani kulikuwa na suruali za polyster ukipita hizi njia vumbi mpaka matakoni,eti Africa hii eneo fulani hamna vumbi? Mwalimu ali declare miaka mingi ya 70s kuwa mji wa kitalii ndio maana serikali ilianza mapema kuwekeza kiasi hicho,vinginevyo ungeikuta nayo si tofauti sana na Mbagala,hayo unayoyaona Mbeya wamefanya wao uliowadharau,juhudi ya serikali ni ndogo sana.Suala la uchawi nafikiri wewe ni member wao kamili ndio uliwaona,maana tangu tumezaliwa tunapewa hadithi za uwepo wao lakini hatuwaoni,ila wewe umeenda siku 2 tayari ukawaona ina uilienda tu kutest mitambo yenu huko.
 
Nilikuwa Nina mpango wa kwenda mbeya mwisho wa mwaka huu Mungu akijaalia kufanya utalii wa ndani, lakini kwa maoni wadau naona bora niiende hapa jirani, hifadhi arusha.
 

Attachments

  • nemi_wa_ireneuwoya8_20210203_221859_0.jpg
    nemi_wa_ireneuwoya8_20210203_221859_0.jpg
    49.5 KB · Views: 7
Nimekaa Mkoa wa Mbeya for five consecutive years. Nikatembelea ukanda wote, Kyela, Tukuyu, Chunya, Ileje, Mbeya yenyewe, Mbozi, nk
Ee bwana ee! ni kutamu huko. Kuna mambo fulani yamepewa kipaumbele kuliko maendeleo.
Tulitembelea kijiji fulani mbele ya Hospitali ya Igogwe. Inaonekana wakazi wa pale hawauhitaji umeme! Ni giza.
Ukiwauliza sababu, wanakuangalia kwa macho!
 
Nilikaa mbeya siku mbili tu kwa hiyo sina uzoefu. Ila picha niloyoondoka nayo ni sehemu poa tu.
Sasa kuhusu malazi, hivi hotel ya Jongwe Sugu si nzuri standard? Na ipo karibu na town?
 
Nilikaa mbeya siku mbili tu kwa hiyo sina uzoefu. Ila picha niloyoondoka nayo ni sehemu poa tu.
Sasa kuhusu malazi, hivi hotel ya Jongwe Sugu si nzuri standard? Na ipo karibu na town?
Jongwe alijiongeza hata wananchi walipompumzisha siasa hakusikia maumivu Kama yule Mmachame
 
Back
Top Bottom