Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Huku Mbeya walete huduma za jamii na miundombinu,miradi tutajenga wenyeweKama Serikali Kuu haiwekezi, Mbeya ibuni miradi na miundombinu endelevu.
Huku Mbeya walete huduma za jamii na miundombinu,miradi tutajenga wenyeweKama Serikali Kuu haiwekezi, Mbeya ibuni miradi na miundombinu endelevu.
Punguzeni uloziWatu wakishachanganyika makabila mbalimbali, ulozi unatoweka polepole. Mbeya ya 1990s sio ya leo. Imebadilika na inaendelea kubadilika sana
🤣 🤣 🤣 🤣 wapi hawalogani bro? Kikubwa, watu wachanganyikane, waelimike, watacha uloziPunguzeni ulozi
BalaaNimekaa Mkoa wa Mbeya for five consecutive years. Nikatembelea ukanda wote, Kyela, Tukuyu, Chunya, Ileje, Mbeya yenyewe, Mbozi, nk
Ee bwana ee! ni kutamu huko. Kuna mambo fulani yamepewa kipaumbele kuliko maendeleo.
Tulitembelea kijiji fulani mbele ya Hospitali ya Igogwe. Inaonekana wakazi wa pale hawauhitaji umeme! Ni giza.
Ukiwauliza sababu, wanakuangalia kwa macho!
Of course Kijiji sasa ni huge construction site na kinafanana hivi 👇Kijiji cha Mbeya
Something good loading in Mbeya 👇Mbeya inapitwa na Nyakanazi
% y hiyo mijengo ni private investment na si serikali.Of course Kijiji sasa ni huge construction site na kinafanana hivi 👇
View attachment 2100198
View attachment 2100199
View attachment 2100200
View attachment 2100201
View attachment 2100203
View attachment 2100204
View attachment 2100205
View attachment 2100206
View attachment 2100207
View attachment 2100208
View attachment 2100209
View attachment 2100210
View attachment 2100211
View attachment 2100212
View attachment 2100213
View attachment 2100214
View attachment 2100215
View attachment 2100216
View attachment 2100218
View attachment 2100219
View attachment 2100220
View attachment 2100221
View attachment 2100222
View attachment 2100223
..View attachment 2100224
View attachment 2100225
Kule ndio kumejaa maskini wa kutupwaMwanza je![]()
Of course,Mbeya kumekucha 👇Uzuri zaidi, 95
% y hiyo mijengo ni private investment na si serikali.
Hiyo ni statement kubwa.
Utamu wa pipi ni mate yako wewe mwenyewe!!Ukisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. Sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwea Fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa Songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duh ni kama nyumba ya makumbush.
Nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) dah ndio nikajua kumbe zile sifa za Wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndio ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties.
Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.
Changamkieni fursa ya Mipaka ya KASUMULU & TUNDUMA kufunguka kibiashara.
Cape 2 Cairo Road inayopita Mbeya nayo ni fursa za kiutalii lakini mmekalia kuzugia dini Jumapili mchana, USIKU kama kawa.
=====
Maoni ya wadau
TughimbeMbeya ni ujinga