Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Huko kwenu kuna maendeleo yapiMaendeleo yapi?
Huko kwenu kuna maendeleo yapiMaendeleo yapi?
Amengia dili la logistics na mchinaKwani sugu anasemaje hukwenda desderia..
Baba yako kuna cha maana amefanya juu yenu?Mbeya hamna Cha maana
Kutoka Ubunge mpaka Dalali wa mchina. Kweli haya Ni maendeleo!Amengia dili la logistics na mchina
Ndio uitaje hapaNadhani ulipelekwa kwenye hotel kulingana na uwezo wako mdogo wa kipesa ulionao. Mbeya Ina hotel mpya zaidi ya 50 zenye hadhi
Wewe unaijua Arusha vizuri? Au unaongelea guest za makao mapya? Yan unauliza arusha kwa mahotel na sehemu za starehe? Inaonyesha huijui arushaMwanza gani unayoisema? hata Arusha ninayojua! Ndiyo maana tunadharauliwa na nchi za jirani! hivi ni wapi Tanzania hii ambapo mtu anaweza kuwacheka sehemu nyingin ya Tz,hebu acheni kuleta ujinga wenu hapa.
Kila mtaa una hotel za maana.. ntataja ngapiNdio uitaje hapa
Mtaa gani? Au nao Siri?Kila mtaa una hotel za maana.. ntataja ngapi
Mimi sikai mbeya, lakin naenda Mbeya kila baada ya miezi 2. Hivyo usinilazimishe ujinga wako niwe natembea na note book naandika majina ya hotel. Mwenye macho haambiwi ona. Barabara yote kuanzia mataa ya pale carnival kama unaenda makambako, pembeni mwa barabara kuna magorofa ya hotel kila upande. Unaweza kuanzia hapo. Chukua notebook ukaende kuandikaMtaa gani? Au nao Siri?
Ndo maana mtoa mada kasema Mbeya Kama kijiji. Pole sanaMimi sikai mbeya, lakin naenda Mbeya kila baada ya miezi 2. Hivyo usinilazimishe ujinga wako niwe natembea na note book naandika majina ya hotel. Mwenye macho haambiwi ona. Barabara yote kuanzia mataa ya pale carnival kama unaenda makambako, pembeni mwa barabara kuna magorofa ya hotel kila upande. Unaweza kuanzia hapo. Chukua notebook ukaende kuandika
Haijui Mbeya kama wewe tu. Mtu amekaa mahali wiki anajifanya tayari anaujua mji wote!Ndo maana mtoa mada kasema Mbeya Kama kijiji
But kazungumzia hoteli chini ya kiwango. Poleni nduguHaijui Mbeya kama wewe tu. Mtu amekaa mahali wiki anajifanya tayari anaujua mji wote!
Hizo nilizokwambia umeisha enda kuzikagua hazina kiwango?But kazungumzia hoteli chini ya kiwango. Poleni ndugu
Watu wakishachanganyika makabila mbalimbali, ulozi unatoweka polepole. Mbeya ya 1990s sio ya leo. Imebadilika na inaendelea kubadilika sanaUlozi je?
Kama Serikali Kuu haiwekezi, Mbeya ibuni miradi na miundombinu endelevu.Mapato ya ndani ya Jiji yanazidi kuongezeka
Pdf hiyo hapo chiniView attachment 1756892