Kandahar Tz
Member
- Apr 2, 2017
- 26
- 23
Kwa kifupi mbeya kila kitu magumashi, first time nakuja mbeya nilishangaa sana but now nimezoea, ila mbeya chenga sana.
Ila wanyakyusa hamjielewi. Unahara hapa hata hueleweki. Tatizo upeo wa chini kiwango cha changaraweNilifikiri anaponda jiji la mbeya akitaka kuwekeza Hotel bora zaidi kumbe anataka sehemu ya kulala walipo jenga wenzake, unasifia Hotel za Dar umezijenga wewe? au unafikiri ziliota? unasifiaje na kuponda vitu vya wenzio wewe huna hata kizuri kimoja?
Post sent using JamiiForums mobile app
Uchawi ndo asili paleMbeya Ulozi kama wote.
Akili za wanakijiji mbeya ndo hizi?Ulipoona hamna hotel ya hadhi yako kwanini usingeenda kulala stendi au sokoni au ungeomba ulale pale ruanda prison
Wanna-Mbeya ndo mnayoweza hayaMkuu umeenda jiji la wachapa kazi we unaendekeza udada udada wa kulalalala ili iweje!?
Ulitaka kuolewa Mbeya?
nenda kaolewe Mombasa.
Mbeya ni Kijiji kilichochangamkaAkili za wanakijiji mbeya ndo hizi?
Inasikitisha sana juu yako,, jitathimini upyaUkisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. Sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwea Fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa Songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duh ni kama nyumba ya makumbush.
Nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) dah ndio nikajua kumbe zile sifa za Wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndio ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties.
Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.
Changamkieni fursa ya Mipaka ya KASUMULU & TUNDUMA kufunguka kibiashara.
Cape 2 Cairo Road inayopita Mbeya nayo ni fursa za kiutalii lakini mmekalia kuzugia dini Jumapili mchana, USIKU kama kawa.
=====
Maoni ya wadau