Jiji la Mbeya kama kijiji

Jiji la Mbeya kama kijiji

Vip HKL inaendaje maana najua umepangiwa advanc huko!! Hivi umepangiwa shule gani? Nije kukutembelea,,
Kazana kusoma HKL sio rahisi waulize kaka zako form six

Post sent using JamiiForums mobile app
 
mbeya wakija wapemba au wa tanga patakuwa njema mno...
 
Huna akiri shetwani ww


Post sent using JamiiForums mobile app
 
Nilifikiri anaponda jiji la mbeya akitaka kuwekeza Hotel bora zaidi kumbe anataka sehemu ya kulala walipo jenga wenzake, unasifia Hotel za Dar umezijenga wewe? au unafikiri ziliota? unasifiaje na kuponda vitu vya wenzio wewe huna hata kizuri kimoja?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Nilifikiri anaponda jiji la mbeya akitaka kuwekeza Hotel bora zaidi kumbe anataka sehemu ya kulala walipo jenga wenzake, unasifia Hotel za Dar umezijenga wewe? au unafikiri ziliota? unasifiaje na kuponda vitu vya wenzio wewe huna hata kizuri kimoja?

Post sent using JamiiForums mobile app
Ila wanyakyusa hamjielewi. Unahara hapa hata hueleweki. Tatizo upeo wa chini kiwango cha changarawe
 
Ozzie,
Asante kaka, endelea kutoa facts.... kuna watu hawajielewi humu... yeye anawaza Hotel tuuu hajawaza productivity ya mji....
 
Ulipoona hamna hotel ya hadhi yako kwanini usingeenda kulala stendi au sokoni au ungeomba ulale pale ruanda prison
 
Mkuu umeenda jiji la wachapa kazi we unaendekeza udada udada wa kulalalala ili iweje!?
Ulitaka kuolewa Mbeya?
nenda kaolewe Mombasa.
andreakalima,
 
Ukisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. Sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwea Fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa Songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duh ni kama nyumba ya makumbush.

Nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) dah ndio nikajua kumbe zile sifa za Wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndio ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties.

Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.

Changamkieni fursa ya Mipaka ya KASUMULU & TUNDUMA kufunguka kibiashara.

Cape 2 Cairo Road inayopita Mbeya nayo ni fursa za kiutalii lakini mmekalia kuzugia dini Jumapili mchana, USIKU kama kawa.

=====

Maoni ya wadau
Inasikitisha sana juu yako,, jitathimini upya
 
Back
Top Bottom