Jiji la Dodoma litakuja kuwa jiji la kisasa sana

Jiji la Dodoma litakuja kuwa jiji la kisasa sana

Traxtion

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2021
Posts
5,895
Reaction score
11,791
Sina mengi ya kusema ika kwa sasa jiji la Dodoma linakua kwa spidi kubwa sana.
Ndani ya miaka kumi ijayo Dodoma itakuwa Las Vegas of Africa. Na hali yake ya kuwa nusu jangwa, jua linawaka vizuri hadi raha. Hata ukiangalia picha za Dodoma asilimia kubwa mazingira yake yanang'aa.

Kuanzia ujenzi wa mji wa Kiserikali wa Magufuli City, NCC Link, Airport ya Msalato, Treni ya umeme, barabara za ndani ya mji, Dodoma Outerring roads, miradi ya NHC, Ikulu mpya, stendi nzuri ya mabasi nk Dodoma inakua kwa kasi sana

Kwenye hii video angalieni jinsi jiji letu linavyong'aa

View: https://youtu.be/qGt02uSe59I?si=D9-pEVLLdIKpFGkg
 
Tatizo la Dodoma ni vumbi.

Mtu unapauka utadhani umetoka kucheza Ngoma.
Sasa Mkuu si inategemea unatembea wapi. Ukiwa mji wa serikali, Kisasa, Iyumbu, Ilazo nk vumbi linatoka wapi au labda uwe mzururaji.

Kuna mwingine anakwambia kuna ukame na hakuna mvua, sasa Mtu kama anataka kulima si aende Nyanda za juu vijijini, mjini hakuna mashamba
 
Sasa Mkuu si inategemea unatembea wapi. Ukiwa mji wa serikali, Kisasa, Iyumbu, Ilazo nk vumbi linatoka wapi au labda uwe mzururaji.

Kuna mwingine anakwambia kuna ukame na hakuna mvua, sasa Mtu kama anataka kulima si aende Nyanda za juu vijijini, mjini hakuna mashamba
Sawa sawa.
 
Sina mengi ya kusema ika kwa sasa jiji la Dodoma linakua kwa spidi kubwa sana.
Ndani ya miaka kumi ijayo Dodoma itakuwa Las Vegas of Africa. Na hali yake ya kuwa nusu jangwa, jua linawaka vizuri hadi raha. Hata ukiangalia picha za Dodoma asilimia kubwa mazingira yake yanang'aa.

Kuanzia ujenzi wa mji wa Kiserikali wa Magufuli City, NCC Link, Airport ya Msalato, Treni ya umeme, barabara za ndani ya mji, Dodoma Outerring roads, miradi ya NHC, Ikulu mpya, stendi nzuri ya mabasi nk Dodoma inakua kwa kasi sana

Kwenye hii video angalieni jinsi jiji letu linavyong'aa

View: https://youtu.be/qGt02uSe59I?si=D9-pEVLLdIKpFGkg

Wakiongeza huduma ya maji ikawa reliable litakua la kisasa kweli.
 
Sina mengi ya kusema ika kwa sasa jiji la Dodoma linakua kwa spidi kubwa sana.
Ndani ya miaka kumi ijayo Dodoma itakuwa Las Vegas of Africa. Na hali yake ya kuwa nusu jangwa, jua linawaka vizuri hadi raha. Hata ukiangalia picha za Dodoma asilimia kubwa mazingira yake yanang'aa.

Kuanzia ujenzi wa mji wa Kiserikali wa Magufuli City, NCC Link, Airport ya Msalato, Treni ya umeme, barabara za ndani ya mji, Dodoma Outerring roads, miradi ya NHC, Ikulu mpya, stendi nzuri ya mabasi nk Dodoma inakua kwa kasi sana

Kwenye hii video angalieni jinsi jiji letu linavyong'aa

View: https://youtu.be/qGt02uSe59I?si=D9-pEVLLdIKpFGkg


View: https://www.instagram.com/p/DL11F_KqEBy/?igsh=ZjVnbnp2YjhncHZu
 
😂😂😂😂 ni kweli sijuii, ahsante kwa kunijulisha.....

Tunamshukuru mama kwa mtandao mkubwa wa lami Dodoma
Dar imejaa madimbwi na vinyesi mtaani.

Mvua ilinyesha ni shida

Jualiliwaka ni taabu

Dar ni jehanamu tuu 😆😆😆😆😆

Ila msijali mama anatandika lami km za kitaa hapo Dar n kazi inaendelea
 
Sina mengi ya kusema ika kwa sasa jiji la Dodoma linakua kwa spidi kubwa sana.
Ndani ya miaka kumi ijayo Dodoma itakuwa Las Vegas of Africa. Na hali yake ya kuwa nusu jangwa, jua linawaka vizuri hadi raha. Hata ukiangalia picha za Dodoma asilimia kubwa mazingira yake yanang'aa.

Kuanzia ujenzi wa mji wa Kiserikali wa Magufuli City, NCC Link, Airport ya Msalato, Treni ya umeme, barabara za ndani ya mji, Dodoma Outerring roads, miradi ya NHC, Ikulu mpya, stendi nzuri ya mabasi nk Dodoma inakua kwa kasi sana

Kwenye hii video angalieni jinsi jiji letu linavyong'aa

View: https://youtu.be/qGt02uSe59I?si=D9-pEVLLdIKpFGkg

Hata Sasa ndio Jiji la kisasa zaidi.Nyumba zote ni mpya,barabara Mpya,majengo mapya yaani Kila kitu kinapendeza.
 
Back
Top Bottom