hee yaani mnakata gogo barabarani na kwingineko mnataka adam kimbisa afanyaje?
....jamani hata suala la usafi mnawalaumu viongozi?....wewe kuchimba choo na kuzingatia kanuni za afya unataka kiongozi aje akushike mkono?
....kuna wakati R Mengi alikuwa anatoa misaada kwenye hosp moja dar..akionyeshwa na ITV karibia dakika 10 akiwa wodini alisema ugonjwa wa kipindu pindu unatokana na kula mavi! akawapa misaada wagonjwa kisha akawaambia wawe wasafi(wasile mavi tena)
.....Zingatieni kanuni za usafi,msisubiri jiji kuja kuwajengea vyoo.....changishaneni nyie wenyewe pesa msafishe mitaa yenu..mnatoa michango ya harusi mpaka laki 5 mkiambiwa mtoe buku tu ya kununulia VIM ya ch.ooni hamtaki
Hitimisho.....wakazi wa DAR ES SALAAM wamezoea kinyaa/uchafu ni moja ya maisha yao...