Matatizo ya Jiji ni complex kidogo.inabidi kyaainisha one by one
1. poor infrastructure- barabara ni za zamani, hazitoshi kulingana na mfumuko wa uingizaji magari. pollution kibao!!!
2. poor/ none housing planning- nyumba za Dar zinaota kama uyoga hakuna facilities zozote i.e maji, umeme, mifereji ya maji taka n.k hivyo mlundikano wa nyumba kunafanya uchafu usikusanywe sawsawa
3 Hakuna strategy madhubuti za ukusanyaji taka. kuanzia house hold mpaka katika industrial waste hapa ndio kasheshe maana watu majumbani je uchafu kuanzia wa vyooni, vyakuala n.k maji machafu vinatupwa wapi?
4. Culture ya kutojali- Wakaaji wengi wa jiji hawajali kabisa mazingira. wanadhani utunzaji wa mazingira ni kazi ya mtu fulani. na hii ndiyo mbaya zaidi. Maana mtu annamua kunya anywhere, kukojoa popote, kutupa taka kiholela, mifereji ya maji machafu ya vyoo na misalani just kuelekea bondeni!!
4. Usimamizi bomu- Jiji likiwa chini ya serikali za mitaa ni wazembe, wanachojua ni kukaba watu koo kulipa kodi tu! hakuna mikakati tekelezeki ya usafi wa jiji. Mikakati mingi ipo katika katika paper work. hadithi mlima. JE si mnamkumbika Keenja? alijitahidi mpaka akaukwa ubunge!!! Jiji linahitaji mtu makakamavu, hodari, shujaa kwelikweli, makini, mchapa kazi MKALI ili kuwaswaga maofsa wa jiji na wananchi kusafisha Jiji.
I.e Ni kwani ni kila nyumba isiwe na pipa la takataka? a) za kawaida b) recycling
2. Ni kwa nini kila mtaa usiwe madhubuti kuhakikisha kuwa mtaa wao ni safi ikiwa ni pamoja na kuripoti yeyote anayeshisiwa kuchafua mazingira?
3. Ni kwa nini kisitengwe maeneo ya recycling? maana takataka nyingi zinaweza kuwa recycled i.e mabaki ya vyakula kama mbolea. etc etc.