Wakili
JF-Expert Member
- Jun 19, 2017
- 529
- 644
Unajua hapa duniani watu wanajionaga wajanja sana, ila hamna lolote.
Piga picha upo kwa nani, hii dunia ni yako? Unakula tu, unafakamia tu na kuponda vistarehe vyako, and then baade unaanza kulia.
Hii dunia ni ya Mungu, tena Mungu Baba wa Mbinguni.
Wewe cheua tu, hivyo vistarehe, kuna siku utakula kichapo cha kifo and as we all know hakunaga majanja katika kifo, utalabuliwa kifo cha aibu na Mungu siku moja halafu katikati ya mauti na kifo yaani hapo katikati kabla roho yako haijaondoka utalia kiama, sisi tulio soma na shule ikakaa kichwani tunamjua Mungu vizuri.
Angalia usije ukawa funzo.
Asante.
Piga picha upo kwa nani, hii dunia ni yako? Unakula tu, unafakamia tu na kuponda vistarehe vyako, and then baade unaanza kulia.
Hii dunia ni ya Mungu, tena Mungu Baba wa Mbinguni.
Wewe cheua tu, hivyo vistarehe, kuna siku utakula kichapo cha kifo and as we all know hakunaga majanja katika kifo, utalabuliwa kifo cha aibu na Mungu siku moja halafu katikati ya mauti na kifo yaani hapo katikati kabla roho yako haijaondoka utalia kiama, sisi tulio soma na shule ikakaa kichwani tunamjua Mungu vizuri.
Angalia usije ukawa funzo.
Asante.