vanmedy
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 2,698
- 1,395
Ndugu zangu, kuna hivi vikundi vya jogging vinavyoibuka kila uchao.Kiukweli hivi vikundi kiafya vina faida mno na mara nyingi vikundi hivi hukimbia siku za Jumapili.
ILA SASA KUMEIBUKA WIMBI LA WEZI/VIBAKA NA WANYANG'ANYI KUPITIA MWAMVULI WA JOGGING "tena hawa utawaona hadi siku za kaz".
Ikitokea umedamka asubuhi sana barabarani (saa11-12 asubuhi) kwa shughuli zako za mihangaiko ya siku na ukaona vikundi vidogovidogo vya joggers(obvious watu 4-5) vinakuja uelekeo wako hebu jitahidi ukae mbali aidha kwa kukimbia au kujificha.
HIZI NJEMBA HUKUVAMIA GHAFLA NA KUKUPORA NA KUKUVUA KILA WAWEZACHO "wanakuwa na vibegi mgongoni" this happened kwa jamaa yangu mmoja hapa mtaani na aliporwa wallet na smart phone.
BE WARNED
ILA SASA KUMEIBUKA WIMBI LA WEZI/VIBAKA NA WANYANG'ANYI KUPITIA MWAMVULI WA JOGGING "tena hawa utawaona hadi siku za kaz".
Ikitokea umedamka asubuhi sana barabarani (saa11-12 asubuhi) kwa shughuli zako za mihangaiko ya siku na ukaona vikundi vidogovidogo vya joggers(obvious watu 4-5) vinakuja uelekeo wako hebu jitahidi ukae mbali aidha kwa kukimbia au kujificha.
HIZI NJEMBA HUKUVAMIA GHAFLA NA KUKUPORA NA KUKUVUA KILA WAWEZACHO "wanakuwa na vibegi mgongoni" this happened kwa jamaa yangu mmoja hapa mtaani na aliporwa wallet na smart phone.
BE WARNED