ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,730
- 45,218
Pepo ni roho wachafu au wabaya wenye nguvu za kishetani wanaoweza kumshawishi mtu atende mabaya na hata kumwingilia kwa lengo la kumharibia maisha yake kiroho na kimwili.
Roho hizo huweza kufikia hatua ya kumpagaa mtu ili kumwendesha afanye mambo mbalimbali kwa kutojielewa kuliko kwa kulewa sana, kama vile kuropoka, kupiga, kurukaruka, kufanya uasherati.
Pepo ni internet inakuja na Upepo kisha mapepo yanatoka columbia,states,africa,japan,kote pande zote za ulimwengu wanapatikana Instagram, tiktok,facebook,xxx sites,n.k wao ndo wanaowalaza watoto wa watu kitandani na kuwafanyisha punyeto ama ngono inayovuka mipaka biashara ya aibu kabisa.
Sasa ndugu yangu pepo kweli ni kitu ya kukushinda kabisa si uzikate hizo internet au uzitumie vizuri kwa faida twendeni kwa kina Yesu na kina muhamad ndugu zangu
View attachment 2490336
Roho hizo huweza kufikia hatua ya kumpagaa mtu ili kumwendesha afanye mambo mbalimbali kwa kutojielewa kuliko kwa kulewa sana, kama vile kuropoka, kupiga, kurukaruka, kufanya uasherati.
Pepo ni internet inakuja na Upepo kisha mapepo yanatoka columbia,states,africa,japan,kote pande zote za ulimwengu wanapatikana Instagram, tiktok,facebook,xxx sites,n.k wao ndo wanaowalaza watoto wa watu kitandani na kuwafanyisha punyeto ama ngono inayovuka mipaka biashara ya aibu kabisa.
Sasa ndugu yangu pepo kweli ni kitu ya kukushinda kabisa si uzikate hizo internet au uzitumie vizuri kwa faida twendeni kwa kina Yesu na kina muhamad ndugu zangu
View attachment 2490336