majebsmafuru
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 453
- 628
Kuna matapeli wameingia na kuwatapeli wakina mama ntilie, saloon, restaurant, kushona n.k. n.k.
Aidha watajifanya kuna tender ya kusuka watoto, kulisha watoto, kulisha shule, kulisha mkutano, kushona nguo za shule, kusambaza kuku wa nyama. n.k. n.k.
Wanakuja na zao kwamba wanataka kukupa tenda, wataomba uwatumie hela ya fomu, baadaye wataomba hela ya kuwahonga ili upate hiyo tenda na mwisho watataka tena hela kwa kusema haijatosha kuhonga upate tenda....
WATAKUJA NA LAFUDHI YA KICHAGA, TUJIHADHARI HASA WAKINA MAMA WAHANGAIKAJI, KUNA WATU HAWANA HURUMA MNAVYOUMIA KUTAFUTA, MASHETANI HAWA HAWANA HATA AIBU KUWAIBIA MAMA NA DADA ZETU...
MMEJULISHWA WAKUU....
Aidha watajifanya kuna tender ya kusuka watoto, kulisha watoto, kulisha shule, kulisha mkutano, kushona nguo za shule, kusambaza kuku wa nyama. n.k. n.k.
Wanakuja na zao kwamba wanataka kukupa tenda, wataomba uwatumie hela ya fomu, baadaye wataomba hela ya kuwahonga ili upate hiyo tenda na mwisho watataka tena hela kwa kusema haijatosha kuhonga upate tenda....
WATAKUJA NA LAFUDHI YA KICHAGA, TUJIHADHARI HASA WAKINA MAMA WAHANGAIKAJI, KUNA WATU HAWANA HURUMA MNAVYOUMIA KUTAFUTA, MASHETANI HAWA HAWANA HATA AIBU KUWAIBIA MAMA NA DADA ZETU...
MMEJULISHWA WAKUU....