Kuna Ruvu Darajani, pale kuna Polisi mmoja mchaga kwa rafidhi yake ana Moustach, na kifimbo, ni Copral au V mbili, huyo akikagua gari hata huna kosa anaomba basi umwachie hata ya soda, nikamwuliza kama shida yako ni soda kwa nini unisumbue na kunipotezea muda wote huu? Mara lete fire extinguisher, license, card ya gari, triangle n.k.?