Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
masanilo hii kali kuliko nimecheka hadi basi, usiseme rushwa y 2000, sema 1400 tu! lol!Hahahahaha hii kali sana! Kuna nilikuwa narudi home baada ya misele pale mjini, kupita karibu na water front lile jengo la NSSF nilisimamishwa na polisi wawili. NIliposimama waliniomba lifti wanakwenda mtoni Mtongani, nami nilikuwa naenda njia hiyo. Nikawabeba tukawa tunakata storiez, walipofika nikawatelemsha. Kumbe waliuposhuka waliteremka na Nyama yangu Kg 3 na chupa za maji bahati nzuri laptop niliihamishia mbele. Nafika home nashusha mizigo ndipo nilipogundua.....mdogo wangu akaniambia polisi ndo zao hizo ukiwabeba hamishia vitu kwenye boot! Polisi anayeiba Kg 3 za nyama unategemea atakwepa rushwa ya 2000?