Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
wengi wetu hua hatuoni na wengine hata hatuamini remote zina mionzi well kama unataka kuiona au kuamin ipo chukua remote yoyote inayofanya kazi then chukua camera hata ya simu yoyote sasa point remote yako direct kwenye kamera anza kuiminya hapo utaona kuna mionzi je umefurahi ntakuja na thread nyingine ya kuona mionzi ya blue tooth