mmh! sasa napata idea hapa, sijui tufanyeje ila da AshaDii tusaidiane naomba iwe hawa wote tutakao wapa kama professional cooks wawe wanatufundisha jinsi ya kupika mapish mageni wazo liwe hivi Madame B Thanda hawa ni professional cooks sasa tuongeze na wengine watupe ujuzi zaid sie tufuatilie recipes tu halafu siku tutaalikana wote ambao ni memba wa jukwaa tuje na pishi ambalo tumejifunza ili tuonje je tunasoma kweli ama la??
sina maana hiyo kwan wote niliowaita ni cyber bulling??
Wote uliowaita umeanza na "sio unakalia majungu tu njoo ujifunze kupika"?
Kama hukuwa na nia ya kum-bully usingeandika hayo
lara1 awe mgeni mwalikwa wakati ukifika kwani siamini sana kama anajua kupika.unajua kwann mie sikukuweka hapa nilijua wewe uko juu kimapish ila nilifananaisha na mkoa ulotokea sikuwaza kabaisa kwamba umewah kufanya kazi ya upish. i love that. na najua sasa unaweza kuwa mwl mzuri sana wa mapish hapa jamvini lol!
lara1 awe mgeni mwalikwa wakati ukifika kwani siamini sana kama anajua kupika.
hahahah! ila kwasababu ya mama yake kuwa mchaga anaweza akawa anajaribu jaribu kupika manake sifa ya akina mama wa kichaga ni kuwafunza watoto zao kazi.
unajua kwann mie sikukuweka hapa nilijua wewe uko juu kimapish ila nilifananaisha na mkoa ulotokea sikuwaza kabaisa kwamba umewah kufanya kazi ya upish. i love that. na najua sasa unaweza kuwa mwl mzuri sana wa mapish hapa jamvini lol!
Lol....
Shostito gfsonwin mbona wanipamba hivo mpaka najihisi nimeibeba Dunia yote?
Ila kiukweli me Upishi na vyote hapa ndo mwake.
Ila mwanamke yeyote nina imani anaweza kupika, basi tu ni jitihada zake ktk ujifunzaji.
hongera sana mwl uzuri wa waalim ni multi disciplinary.
big up ma dear.
Kwa hiyo wewe unavyoona kuwa Juliana Shonza anapenda majungu?
Kwa hiyo ukamwita "so innocently" kwa kile unachojua atafurahia kukisia?
Acheni bullying kwa vitu viso msingi.
wewe unayako hebu nipishe.
ukisema mie nime mbully je yale aloambiwa kwenye post yake yalikuwa innocently kwake??
hapo ndo ninapoampendea mama ya kinondoni si kuishia kunywa tu la hasha bali na upish yuko juu.
Huu mkate white haufai.. Mie nakula brawuni bredi..