Jifunze kwenye story hii.

Nov 20, 2016
23
14
1.Shingi 200 yazalisha mamilioni. Kijana wa kimaskini alieishi Dar-es-salaam, alipata hii fedha, hakuidharau. Aliifanyia kazi. Alifanyaje?

2. Alifikiri nini afanye. Mara akapata aidia ya kuenda dukani Na kununua yai bichi. Akafanya hivyo, kisha akalichemsha Na kiliuza kwa sh, 400. Akaona ni bora akanunue mayai mawili. Akarudia mchezo wa kuyachemsha Na kuuza akapata 800. Hakuchoka akafanya mchezo huwo mpaka akajikuta amefikia raundi ya 7 akajikuta katika raundi hio ameuza mayai 128 huku akipata sh 51,200.

3. Siku ya pili akaona 51,200 ni nyingi ataweza kununua mayai kwa trea Na kuyauza kwa trea yakiwa mabichi. Akafanya hivyo ambapo trea 1 alinua kwa sh,8000 Na kuuza 11,000. Kwa fedha alizokua nazo aliweza kununua trea 6 Na kuziuza zote. Hivyo alipata kiasi cha 66,000.

4. Kazi iliendelea kwa Siku ya 3, 4,5,6,7 Na mpaka kufikia siku ya 8 akaweza kuuza trea 40 Na kufikia sh 440,000

4. Sasa aliamua kufungua kigenge cha kuuza mayai kwa trea. Akafanya hivyo hadi mwezi mmoja. Hapo ndio alipopata fedha nyingi Na kuamua kununua kikery cha kusambazia mayai kwa wateja katika maeneo mbalimbali ya jiji LA daresalaam.

5. Alifungua Na senta nyengine za kufanya biashara hio hio. Na sasa amekua milionea.

2e9d91aa5c70be35e9f559b98b6e8a0e.jpg
 
1.Shingi 200 yazalisha mamilioni. Kijana wa kimaskini alieishi Dar-es-salaam, alipata hii fedha, hakuidharau. Aliifanyia kazi. Alifanyaje?

2. Alifikiri nini afanye. Mara akapata aidia ya kuenda dukani Na kununua yai bichi. Akafanya hivyo, kisha akalichemsha Na kiliuza kwa sh, 400. Akaona ni bora akanunue mayai mawili. Akarudia mchezo wa kuyachemsha Na kuuza akapata 800. Hakuchoka akafanya mchezo huwo mpaka akajikuta amefikia raundi ya 7 akajikuta katika raundi hio ameuza mayai 128 huku akipata sh 51,200.

3. Siku ya pili akaona 51,200 ni nyingi ataweza kununua mayai kwa trea Na kuyauza kwa trea yakiwa mabichi. Akafanya hivyo ambapo trea 1 alinua kwa sh,8000 Na kuuza 11,000. Kwa fedha alizokua nazo aliweza kununua trea 6 Na kuziuza zote. Hivyo alipata kiasi cha 66,000.

4. Kazi iliendelea kwa Siku ya 3, 4,5,6,7 Na mpaka kufikia siku ya 8 akaweza kuuza trea 40 Na kufikia sh 440,000

4. Sasa aliamua kufungua kigenge cha kuuza mayai kwa trea. Akafanya hivyo hadi mwezi mmoja. Hapo ndio alipopata fedha nyingi Na kuamua kununua kikery cha kusambazia mayai kwa wateja katika maeneo mbalimbali ya jiji LA daresalaam.

5. Alifungua Na senta nyengine za kufanya biashara hio hio. Na sasa amekua milionea.

2e9d91aa5c70be35e9f559b98b6e8a0e.jpg
Acha kugeuza watu wazima km watoto wa darasa la pili
 
Somo zuri.Japo uhalisia wake ni mdogo.Uzur wake umelezea kitu ambacho wengi hatukiwezi kukifanya ambacho kuanza bisahara na mtaji mdogo sana ila uwe na FOCUS.Sifa moja wapo ya mafanikio ni focus na wala si balanced.
 
Hizi ndo hadithi wanazo simulia akina ruge na wenzake kwenye Semina za fursa, hadithi za kufikirika, eti kachemsha yai moja kaenda liuza, serious !!! kashika mayai moja kwabarabara anauza?!! alafu kesho ako na mayai mbili anauza? Alafu mteja unakuja unakuta mtu ako na mayai moja kwa mkono anauza na wewe unanunua?!! Sawa bwana. Kuna watu wanafanya bishara za kuuza mayai for more than 20 yrs lakini hawakukua ma milionea mpaka sasa, yeye kaanza na mayai moja kakuwa milionea? Huyu ndo ile tunaita Mungu kamkunia nazi.
 
yao moja sawa,mkaa/sufuria/maji ya kulichemsha Hilo yao? je yai Hilo aliliuza bila chumvi? dah! maswali Ni mengi kuhusu hii biashara.
nalog off
 
Hizi ndo hadithi wanazo simulia akina ruge na wenzake kwenye Semina za fursa, hadithi za kufikirika, eti kachemsha yai moja kaenda liuza, serious !!! kashika mayai moja kwabarabara anauza?!! alafu kesho ako na mayai mbili anauza? Alafu mteja unakuja unakuta mtu ako na mayai moja kwa mkono anauza na wewe unanunua?!! Sawa bwana. Kuna watu wanafanya bishara za kuuza mayai for more than 20 yrs lakini hawakukua ma milionea mpaka sasa, yeye kaanza na mayai moja kakuwa milionea? Huyu ndo ile tunaita Mungu kamkunia nazi.
 
yao moja sawa,mkaa/sufuria/maji ya kulichemsha Hilo yao? je yai Hilo aliliuza bila chumvi? dah! maswali Ni mengi kuhusu hii biashara.
nalog off
Huyu jamaa bhana!
You have spoken my mind.
Wakurya wanauza mayai kila siku wakibeba trays kwa baiskeli sion wakitononoka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom