Jifunze kuzishinda hisia

Jifunze kuzishinda hisia

Inawezekana kama unampa mashariti kwa maana unayoijuwa wewe so ninaamini mungu aliweka mashariti kwa maana yake kubwa!!
Nafikiri Mungu hajaweka masharti yoyote amekuumba free kabisa. Binadamu katika mishe zake ndio inabidi atie akili kumkichwa....go easy on God he made everything beautifully.....it is us who complicate matters
 
Habari za jumatatu wakuu wa nchi hii ya Jamii Forum, leo nataka niseme neno kidogo najuwa litalipuwa vichwa wengi, na kuwachoma lakini tuelezane tu kwa faidia yetu sote, haswa waamini wa mungu.

Leo niwamegee siri tu ya ni jambo gani kubwa linalotukataza kufanya mapenzi kabla ya ndoa, ni kwa sababu Mungu hapendi amekataa. Na amekataa sio kwamba hajui.

Anajua kila uhisilo ukifanya mapenzi, anajua zile hisia unazofeel na nini kinatokea ukifanya. Anajua yeye ndo ameziumba zile hisia, usimfundishe Mungu kazi ya kuumba.

Alikuumba akijua una hormone ambazo zitakusumbua lakini vilevile amekupa uwezo wa kuzishinda. Mungu hawezi kuweka jaribu ambalo halina mlango, kama alisema usifanye basi anajua uwezo wa kutofanya upo.

Tutabisha weeee, ooh haiwezekani, kuna watu hawafanyi na wapo, wanapumua kama wewe, wanamtii Mungu na wanaishi hawafi, na wanakuja wanaoa na mambo wanakula kama kawa.

Zile stori usipofanya sijui ufutio unapotea, utajuwaje kama ni mzima, mara hivi, ni plan za shetani tu kama alivyomdanganya Eva akajaa kimiani, anakujaza na wewe uamini ili upotee.

Usikubali.

toa njia zinazosaidia kuepuka hizo hisia!!!
 
toa njia zinazosaidia kuepuka hizo hisia!!!
Mkuu hawa Moderator naona wao ndio wanaamua tu topic ya uzi iwe vipi mimi sikuweka mambo ya hisia kwenye uzi wangu wao ndio wabebadili sijuwi kwa maana ipi!
 
Last edited by a moderator:
Pengine mtihani mkubwa unakuja kutokana na aina ya ladha inayopatikana pale!
Lakini tukizingati maandiko na maagizo yote ya mungu tunaweza kuishinda hii kitu!

Kibo 10! hv adamu na hawa waliijua ladha ya hii kitu kabla? mana nao walivunja maagizo ya mungu.
 
Kibo 10! hv adamu na hawa waliijua ladha ya hii kitu kabla? mana nao walivunja maagizo ya mungu.
wisu hawakuijua kabla ila walikosea baada ya kuionja ikawachanganya vichwa!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom