Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,658
Mi sijaelewa kabisa. Mungu katupa afu anatukataza kutumia?
Hajakukataza kutumia ila kakupa matumizi yenye mashariti kwa maana yake!
Mi sijaelewa kabisa. Mungu katupa afu anatukataza kutumia?
Mi nafikiri watu wawe na vifanyo vya subra....
Wali wa nazi,maini rost,maharage na mboga ya majani pembeni
Umeelewa kweli wewe?
Nafikiri Mungu hajaweka masharti yoyote amekuumba free kabisa. Binadamu katika mishe zake ndio inabidi atie akili kumkichwa....go easy on God he made everything beautifully.....it is us who complicate mattersInawezekana kama unampa mashariti kwa maana unayoijuwa wewe so ninaamini mungu aliweka mashariti kwa maana yake kubwa!!
ulichopewa na mungu kumnyima binadam mwenzio dhambi ujue
Habari za jumatatu wakuu wa nchi hii ya Jamii Forum, leo nataka niseme neno kidogo najuwa litalipuwa vichwa wengi, na kuwachoma lakini tuelezane tu kwa faidia yetu sote, haswa waamini wa mungu.
Leo niwamegee siri tu ya ni jambo gani kubwa linalotukataza kufanya mapenzi kabla ya ndoa, ni kwa sababu Mungu hapendi amekataa. Na amekataa sio kwamba hajui.
Anajua kila uhisilo ukifanya mapenzi, anajua zile hisia unazofeel na nini kinatokea ukifanya. Anajua yeye ndo ameziumba zile hisia, usimfundishe Mungu kazi ya kuumba.
Alikuumba akijua una hormone ambazo zitakusumbua lakini vilevile amekupa uwezo wa kuzishinda. Mungu hawezi kuweka jaribu ambalo halina mlango, kama alisema usifanye basi anajua uwezo wa kutofanya upo.
Tutabisha weeee, ooh haiwezekani, kuna watu hawafanyi na wapo, wanapumua kama wewe, wanamtii Mungu na wanaishi hawafi, na wanakuja wanaoa na mambo wanakula kama kawa.
Zile stori usipofanya sijui ufutio unapotea, utajuwaje kama ni mzima, mara hivi, ni plan za shetani tu kama alivyomdanganya Eva akajaa kimiani, anakujaza na wewe uamini ili upotee.
Usikubali.
Pengine mtihani mkubwa unakuja kutokana na aina ya ladha inayopatikana pale!
Lakini tukizingati maandiko na maagizo yote ya mungu tunaweza kuishinda hii kitu!