Jifunze kumuacha aende

Hali hii inanitesa nilmpenda Sana na kwel akaonyesha interested ya kuwa na mm tulifurahia couple yetu for short moment but suddenly akaanza kutojibu sms,call kibaya zaid kanipiga block kote cjui nmemfanyia nn kibaya kpnz changu huyu,nilmnunulia infinix hot 8,nimemshonea nguo kila mtindo,nampa hela ya matumiz 20k up 40 per month but bado cjajua nmekosea wapi😭😭😭😭mapenzi yameondoa furaha ya moyo wangu naonekana naumwa kumbe n love disease
Dah. Pole mkuu
 
• Kamwe usihisi kama ulimwengu ndio unakaribia mwisho pale akupendae anapokuacha.

MUACHE AENDE !

• Kujaribu kumlazimisha mtu akupende ni sawa na kujaribu kumlazimisha Nguruwe kutambua usafi na uzuri. Usimlazimishe akupende, mwache mwenyewe akupende, kama hakupendi...

MWACHE AENDE !

• Wewe ni wa thamani mno kulilia penzi. Mtu ambae anakupenda kweli atakuheshimu na hataku 'treat' kama uchafu. Kama atakuchukulia wewe kama uchafu...

MUACHE AENDE !

• Usipoteze muda wako wa thamani kujaribu kumshawishi au kuomba mapenzi. Mtu mwingine pembeni anakupenda wewe kwa dhati, ila wewe uko busy mno kumuogesha nguruwe! Kwanini?

MUACHE AENDE !

• Usikasirike pale mtu wako anapompenda mwingine tofauti na wewe. Siku zote hua ni vigumu kumshawishi NYANI kwamba Asali ni tamu kuliko ndizi...

MUACHE AENDE !

• Mwanamke/mwanaume yeyote anaekuchukulia kirahisi siku zote atachukulia faida kwako, atakugeuza atakavyo kama chapati akijua hufurukuti, yeye sio Mungu wa kukufanya atakavyo...

MUACHE AENDE !

• Kuna watu hawatakupenda hata kama utajitoa kiasi gani kwao. Ni sawa tu. Kukukataa kwao haimaanishi kwamba una kitu kibaya, bali ni maana kwamba hawako kwa ajili yako. Usilazimishe duara kuwa pembe tatu...

MUACHE AENDE !

CHA KUJIFUNZA

• Hauwezi badilisha maoni mabaya ya watu juu yako, ila unaweza ukazuia maoni yao mabaya yasikubadilishe wewe kama wewe!

• Acha kichwa chako kiongoze moyo wako kukuondoa katika mahusiano sumu. Lengo la mahusiano sio kuleta mafadhaiko ila ni kuongeza furaha juu ya ile uliyokuwa nayo mwanzoni ulipokuwa haupo ktk mahusiano.

Jifunze kumuacha aende hata ni kama kwenye ndoa, vitabu vya dini vinaruhusu kabisa kuvunja ndoa kwa kesi ya Uzinzi.

NI NGUMU SANA ILA KWA MUSTAKABALI WA FURAHA YAKO YA SASA NA YA BAADAE ME NAKWAMBIA MUACHE AENDE MPE NA NAULI KABISA!

Kama ipo ipo tu...!

Tupo pamoja??
Ujumbe kwa jamii
 
• Kamwe usihisi kama ulimwengu ndio unakaribia mwisho pale akupendae anapokuacha.

Muache aende!
• Kujaribu kumlazimisha mtu akupende ni sawa na kujaribu kumlazimisha Nguruwe kutambua usafi na uzuri. Usimlazimishe akupende, mwache mwenyewe akupende, kama hakupendi...

Muache aende!
• Wewe ni wa thamani mno kulilia penzi. Mtu ambae anakupenda kweli atakuheshimu na hataku 'treat' kama uchafu. Kama atakuchukulia wewe kama uchafu...

Muache aende!
• Usipoteze muda wako wa thamani kujaribu kumshawishi au kuomba mapenzi. Mtu mwingine pembeni anakupenda wewe kwa dhati, ila wewe uko busy mno kumuogesha nguruwe! Kwanini?

Muache aende!
• Usikasirike pale mtu wako anapompenda mwingine tofauti na wewe. Siku zote hua ni vigumu kumshawishi NYANI kwamba Asali ni tamu kuliko ndizi...

Muache aende!
• Mwanamke/mwanaume yeyote anaekuchukulia kirahisi siku zote atachukulia faida kwako, atakugeuza atakavyo kama chapati akijua hufurukuti, yeye sio Mungu wa kukufanya atakavyo...

Muache aende!
• Kuna watu hawatakupenda hata kama utajitoa kiasi gani kwao. Ni sawa tu. Kukukataa kwao haimaanishi kwamba una kitu kibaya, bali ni maana kwamba hawako kwa ajili yako. Usilazimishe duara kuwa pembe tatu...
Na unaamini hukumkosea basi usiumie sana Mungu yupo na ni niwakwetu sote razima tu alipe kwa alio yafanya ata kama ni lini
MUACHE AENDE!

Cha kujifunza
• Hauwezi badilisha maoni mabaya ya watu juu yako, ila unaweza ukazuia maoni yao mabaya yasikubadilishe wewe kama wewe!

• Acha kichwa chako kiongoze moyo wako kukuondoa katika mahusiano sumu. Lengo la mahusiano sio kuleta mafadhaiko ila ni kuongeza furaha juu ya ile uliyokuwa nayo mwanzoni ulipokuwa haupo ktk mahusiano.

NI NGUMU SANA ILA KWA MUSTAKABALI WA FURAHA YAKO YA SASA NA YA BAADAE ME NAKWAMBIA MUACHE AENDE MPE NA NAULI KABISA!

Kama ipo ipo tu...!

MJOMBA JIFUNZE KUWA NA AIBU......HILI BANDIKO NI LA KWANGU LIMO HUMU TOKA 26 OCTOBER 2016.
SASA IWEJE WEWE KU COPY NA KU PASTE? UNATEMBELEA NYOTA YANGU? HUNA UWEZO WA KUBUNI MAMBO YAKO? AU WATAFUTA UJIKO?
HUO SI UUNGWANA.
MOD MPO WAPI?
 
MJOMBA JIFUNZE KUWA NA AIBU......HILI BANDIKO NI LA KWANGU LIMO HUMU TOKA 26 OCTOBER 2016.
SASA IWEJE WEWE KU COPY NA KU PASTE? UNATEMBELEA NYOTA YANGU? HUNA UWEZO WA KUBUNI MAMBO YAKO? AU WATAFUTA UJIKO?
HUO SI UUNGWANA.
MOD MPO WAPI?
WaTanzania huwajui ndugu?
 
Huwezi kumpa kila kitu mwanamke.
Wacha kujidanganya .
Mpe m100 hapo
Au ukishatoa gauni la 32 unaona ndio kila kitu usipende sana kitumia huo msemo
Huwezi kumpa kila kitu mwanamke anayekupenda kwa dhati atajifunza kuishi kwa kipato chenu na hapo ndio maana halisi na ladha ya mapenzi inapopatikana, ukiwa na pesa sana ni ngumu kujua kama unapendwa kweli au yupo kwa ajili ya kujikidhu kimaisha, na maisha ni kupanda na kushuka
 
• Kamwe usihisi kama ulimwengu ndio unakaribia mwisho pale akupendae anapokuacha.

MUACHE AENDE !

• Kujaribu kumlazimisha mtu akupende ni sawa na kujaribu kumlazimisha Nguruwe kutambua usafi na uzuri. Usimlazimishe akupende, mwache mwenyewe akupende, kama hakupendi...

MWACHE AENDE !

• Wewe ni wa thamani mno kulilia penzi. Mtu ambae anakupenda kweli atakuheshimu na hataku 'treat' kama uchafu. Kama atakuchukulia wewe kama uchafu...

MUACHE AENDE !

• Usipoteze muda wako wa thamani kujaribu kumshawishi au kuomba mapenzi. Mtu mwingine pembeni anakupenda wewe kwa dhati, ila wewe uko busy mno kumuogesha nguruwe! Kwanini?

MUACHE AENDE !

• Usikasirike pale mtu wako anapompenda mwingine tofauti na wewe. Siku zote hua ni vigumu kumshawishi NYANI kwamba Asali ni tamu kuliko ndizi...

MUACHE AENDE !

• Mwanamke/mwanaume yeyote anaekuchukulia kirahisi siku zote atachukulia faida kwako, atakugeuza atakavyo kama chapati akijua hufurukuti, yeye sio Mungu wa kukufanya atakavyo...

MUACHE AENDE !

• Kuna watu hawatakupenda hata kama utajitoa kiasi gani kwao. Ni sawa tu. Kukukataa kwao haimaanishi kwamba una kitu kibaya, bali ni maana kwamba hawako kwa ajili yako. Usilazimishe duara kuwa pembe tatu...

MUACHE AENDE !

CHA KUJIFUNZA

• Hauwezi badilisha maoni mabaya ya watu juu yako, ila unaweza ukazuia maoni yao mabaya yasikubadilishe wewe kama wewe!

• Acha kichwa chako kiongoze moyo wako kukuondoa katika mahusiano sumu. Lengo la mahusiano sio kuleta mafadhaiko ila ni kuongeza furaha juu ya ile uliyokuwa nayo mwanzoni ulipokuwa haupo ktk mahusiano.

Jifunze kumuacha aende hata ni kama kwenye ndoa, vitabu vya dini vinaruhusu kabisa kuvunja ndoa kwa kesi ya Uzinzi.

NI NGUMU SANA ILA KWA MUSTAKABALI WA FURAHA YAKO YA SASA NA YA BAADAE ME NAKWAMBIA MUACHE AENDE MPE NA NAULI KABISA!

Kama ipo ipo tu...!

Tupo pamoja??
Chukua biaa ya baridiiiiiiiiiii ntaripaaaa
 
Kuachana Na mwanamke au mwanaume unaempenda inahtaji moyo Na utulivu Wa akil sana
Akiwa huyo mwanamke hakai karibu na mimi basi hilo ni swala dogo sana,akiwa karibu kuna ile kumuona na kujisikia vibaya,lakini niwe mkoa yeye yuko sijui wapi huko,ktk Dunia hii yenye wanawake wengi wote wazuri,aisee namsahau,hata tukiwa mji mmoja kama ka wilaya fulani,akiishi tu mtaa wa mbali na mimi na siyo nyumba moja basi imetoka mwanawane
 
Back
Top Bottom