Cotton pamba
JF-Expert Member
- Dec 16, 2020
- 303
- 208
Dah. Pole mkuuHali hii inanitesa nilmpenda Sana na kwel akaonyesha interested ya kuwa na mm tulifurahia couple yetu for short moment but suddenly akaanza kutojibu sms,call kibaya zaid kanipiga block kote cjui nmemfanyia nn kibaya kpnz changu huyu,nilmnunulia infinix hot 8,nimemshonea nguo kila mtindo,nampa hela ya matumiz 20k up 40 per month but bado cjajua nmekosea wapi😭😭😭😭mapenzi yameondoa furaha ya moyo wangu naonekana naumwa kumbe n love disease