Mapengo 17
R I P
- Mar 28, 2014
- 1,228
- 618
Wanajamvi tujifunze kumuheshimu kila mtu hata kama mtu flani ana/una mali nyingi kiasi gani ipo siku na wewe utakosa au uchumi utayumba.
Wadau tukumbuke hali ya maisha huweza kubadilika wakati wowote, leo waweza kuwa tajiri lakini kesho ukawa masikini.
Endapo unaamini hayo yanaweza tokea wakati wowote, basi huna budi kumuheshimu yule asiye nacho, ulicho nacho wewe sababu wakati wowote unaweza ukawa katika hali aliyonayo mwenzako.
Nawatakia tafakari njema.
Wadau tukumbuke hali ya maisha huweza kubadilika wakati wowote, leo waweza kuwa tajiri lakini kesho ukawa masikini.
Endapo unaamini hayo yanaweza tokea wakati wowote, basi huna budi kumuheshimu yule asiye nacho, ulicho nacho wewe sababu wakati wowote unaweza ukawa katika hali aliyonayo mwenzako.
Nawatakia tafakari njema.