Mapengo 17
R I P
- Mar 28, 2014
- 1,228
- 618
- Thread starter
- #21
ulichokisema ni sawa kabisa hasa kwa hii picha lakini nilizani tuheshimu tu hata wezi kama akina Anna Tibaijuka hapo nilikuwa nakupa mazafaka za kutosha.
Wale ni matapeli wakubwa mno.
ulichokisema ni sawa kabisa hasa kwa hii picha lakini nilizani tuheshimu tu hata wezi kama akina Anna Tibaijuka hapo nilikuwa nakupa mazafaka za kutosha.
Wanajamvi tujifunze kumuheshimu kila mtu hata kama mtu flani ana/una mali nyingi kiasi gani ipo siku na wewe utakosa au uchumi utayumba.
Wadau tukumbuke hali ya maisha huweza kubadilika wakati wowote, leo waweza kuwa tajiri lakini kesho ukawa masikini.
Endapo unaamini hayo yanaweza tokea wakati wowote, basi huna budi kumuheshimu yule asiye nacho, ulicho nacho wewe sababu wakati wowote unaweza ukawa katika hali aliyonayo mwenzako.
Nawatakia tafakari njema.
![]()
Ningekuwa mimi hapo ningemtegeshea misumari chini ya tyre akazibe pancha mbele kwa mbele.........Wanajamvi tujifunze kumuheshimu kila mtu hata kama mtu flani ana/una mali nyingi kiasi gani ipo siku na wewe utakosa au uchumi utayumba.
Wadau tukumbuke hali ya maisha huweza kubadilika wakati wowote, leo waweza kuwa tajiri lakini kesho ukawa masikini.
Endapo unaamini hayo yanaweza tokea wakati wowote, basi huna budi kumuheshimu yule asiye nacho, ulicho nacho wewe sababu wakati wowote unaweza ukawa katika hali aliyonayo mwenzako.
Nawatakia tafakari njema.
![]()
Sasa hapo si barabarani? Nani ambaye hamuheshimu mwenzio? Watu wengine wanatumia kigezo cha umaskini ku play victim waonekanae wananyanyaswa.Hapo mwenye gari ndo ananyanyasika. Analipia road licence ya gari lake lakini anakuta kaweka nynya barabarani na huyo mtu halipi hata senti tano ya kodi