Kutomboka=kuongea
KupompiKupiga mti je kikongo wanasemaje?
Ngwena alimo kumayiMamba alimo kumayi=mamba yumo majini,
Kutambuka ni neno la kawaida tu, yaani kupita juu ya kitu. Mfano tambuka reli maana yake pita juu ya reli.Kutambuka. = kuvuka
Magharibi =kuanzia saasita na kuendelea mpaka jioni
Hahaha hiyo mwanzo umeniacha ila zingine zote nimeng'amua. Lugha inafanana na kilugha chetu........... Muendelezo wa somo letu la jana
Yulu............ juu mfano uikae kule yulu maana kaa kule juu
Mbegete----- Ndoo
Chungu ------sufuria
kopo-----------Kikombe
Kilauri----------Bilauri
Zamu ---------mlinzi
Siku ya posho-----Jumamosi
Siku ya Mungu----Jumapili
Siku ya kwanza---Jumatatu
Siku ya pili----------Jumanne
siku ya tatu--------Jumatano
Siku ta ine--- Alhamisi
Siku ya Tano-------Ijumaa
Utalungula----------utaungua
Mapapa-------------ndala au kandambili
Mkaba---------------Mkanda
Shemizi--------------shati
Jipe------skirt
shapo------Kofia
Kiwelewele---hamnazo au mwehu
Wazanga------hamnazo au mapepe
Maziba---------matiti
Shushu--------maziwa fresh
maziwa/kivuguto----mtindi
Makumi mbili----ishirini , nakuendelea mpaka mia moya ndio mia moja
Petrole ----mafuta ya taa
Mazutu--dieasel
Petrol--essense
mayi----maji
Sentesi fupi fupi
-Chef umwe mimi niko na makosa kama njo vile basi unikilie uruma nilizani nimenyangula bien kumbe nimekosea... nisikilie uruma papa
- Si ukuye kunyumba niko na lazima na weye-----si uje nyumbani ninakuhitaji
-sa mbona unanipita kama unijue-kuya karibu kuna chenye nataka kukuambia au unazani nataka kulomba kitu
-nawewe ukatale wewe kila kitu dako tu---nawewe ukatae kila kiitu yes tu?
-jana nimekunya sana pombe
-kesho ulete mavi na mkoyo---hawana tafsida ni kavukavu tu
-koyola niende busiku bunaingia---?????? hapo mtajaza wenyewe
Hata sisi kwetu tunaita upawaLupawa------kijiko
Tunaanza bila kuchelewa
Kukoropa---------- Kupiga deki
Kunya---------------Kunywa
Mbele----------------Kabla
Kugoma-------------Kunyoosha nguo au kupiga pasi
Kinono---------------Kongolo
Sombe----------------Kisamvu
Lengalenga-----------Mchicha
Kunyamba-----------kwenda haja kubwa
Fufu-------------------Ugali
Kuya------------------Kuja
Kupiga-----------------Kupika
Koyola----------------Kojoa
Mbio-------------------Upesi
Tosha-----------------Toa
Nyangula-------------Nyenyua
makaku---------------Kima/nyani
Soso-------------------Kuku/hii pia ni lingala
Kunyumba------------Nyumbani
Fungula----------------Fungua
Njo vile-----------------ndio hivyo
Nisiikilie huruma-------nisamehe
Pika---------------------piga
Njala---------------------njaa
Ndazi-------------------andazi
Kasamunyu-----------Ndizi za kupika
Ndizi-------------------ndizi kisukari
Bitika-------------------Ndizi mbivu
Tate-------------------bibi au babu
Mloko yangu---------mdogo wangu
Malofu------------------pombe/ulabu
Kanyanga-------------gongo
kesho maneno mengine kibaaao
Chanzo: Wikipedia