Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
Jifunze Urban Gardening, tumia eneo dogo, rasilimali zinazopatikana kwenye mazingira unayoishi kujipatia mbogamboga, matunda na tiba zisizokuwa na kemikali za viwandani.
Tumia mbolea za asili Kama vile samadi na mboji. Unapolazimika kutumia mbolea basi tumia mbolea za maji aina ya Com-fert; ni mbolea Bora na salama kwa mmea na mlaji. Com-fert ni rafiki wa mazingira kwa kuwa haina kemikali yoyote.
Kitu kingine Cha ziada ni kwamba com-fert inao uwezo mkubwa wa kudhibiti magonjwa kwenye mimea mbalimbali. Mbolea hii inazalishwa / inaandaliwa kwa njia za asili kabisa, na Ina virutubisho vya asili vinavyohitajika ili mmea uweze kustawi (Nitrogen, phosphorus na Potassium).
Kwa kipindi hiki ambapo mbolea zenye sumu zimepanda Bei sana, ni muda muafaka kwako wewe mkulima kuanza kutumia mbolea za asili za gharama nafuu na ambazo haziharibu mazingira, Hazina madhara kwa mlaji Wala wanyama.
Wasiliana nasi kwa simu / WhatsApp +255 533 543 upate maelezo ya kina.
Sisi tumeweza, wewe utashindwa vipi? Vya asili tulivitumia - tunavitumia - tutaendelea kuvitumia.
Tumia mbolea za asili Kama vile samadi na mboji. Unapolazimika kutumia mbolea basi tumia mbolea za maji aina ya Com-fert; ni mbolea Bora na salama kwa mmea na mlaji. Com-fert ni rafiki wa mazingira kwa kuwa haina kemikali yoyote.
Kitu kingine Cha ziada ni kwamba com-fert inao uwezo mkubwa wa kudhibiti magonjwa kwenye mimea mbalimbali. Mbolea hii inazalishwa / inaandaliwa kwa njia za asili kabisa, na Ina virutubisho vya asili vinavyohitajika ili mmea uweze kustawi (Nitrogen, phosphorus na Potassium).
Kwa kipindi hiki ambapo mbolea zenye sumu zimepanda Bei sana, ni muda muafaka kwako wewe mkulima kuanza kutumia mbolea za asili za gharama nafuu na ambazo haziharibu mazingira, Hazina madhara kwa mlaji Wala wanyama.
Wasiliana nasi kwa simu / WhatsApp +255 533 543 upate maelezo ya kina.
Sisi tumeweza, wewe utashindwa vipi? Vya asili tulivitumia - tunavitumia - tutaendelea kuvitumia.