Jifunze kifaransa na Mr. Chérrif Youtube – lesson one

Jifunze kifaransa na Mr. Chérrif Youtube – lesson one

Paragons

Member
Joined
May 3, 2016
Posts
60
Reaction score
47
Habari zenu wakuu;

Kama mulivyotushauri kufundisha KIFARANSA kwa njia ya Yutube, huu ni mwanzo wa mfululizo wa vipindi vitakavyokufundisha kuzungumza kwa ufasaha ukiwa nyumbani kwako. Tafadhali mshirikishe rafiki yako wa karibu ili upate mtu wa kuzungumza nae mara kwa mara, na kama haitoshi, usikose kututembelea ofisini kwetu ili upate ushauri utakao kuwezesha kukamilisha ndoto yako.



Jifunze KIFARANSA na Mr Chérrif Youtube


www.youtube.com/watch?v=EGC7PLIkAzw


Merci!
 
Habari zenu wakuu;

Kama mulivyotushauri kufundisha KIFARANSA kwa njia ya Yutube, huu ni mwanzo wa mfululizo wa vipindi vitakavyokufundisha kuzungumza kwa ufasaha ukiwa nyumbani kwako. Tafadhali mshirikishe rafiki yako wa karibu ili upate mtu wa kuzungumza nae mara kwa mara, na kama haitoshi, usikose kututembelea ofisini kwetu ili upate ushauri utakao kuwezesha kukamilisha ndoto yako.



Jifunze KIFARANSA na Mr Chérrif Youtube


www.youtube.com/watch?v=EGC7PLIkAzw


Merci!


Merci beaucoup....
 
mercri ndio asante au nimekosea...
 
Sorry mkuu, naona uliandika "Mercri" ni "Merci" samahani sikusoma vzri
siunajua mkuu typing arror, ilanilimaamisha "merci"..
mi kuna maneno na sentensi za kifaransa nimezikalili tu na ninajua maana yake ila sasa sujui kwa nini inaandikwa hivyo..mfamo " la grace de Dieu" sijui "la" ni nini? na "de" ni nini? but maana nzima ya sentensi najua.
 
siunajua mkuu typing arror, ilanilimaamisha "merci"..
mi kuna maneno na sentensi za kifaransa nimezikalili tu na ninajua maana yake ila sasa sujui kwa nini inaandikwa hivyo..mfamo " la grace de Dieu" sijui "la" ni nini? na "de" ni nini? but maana nzima ya sentensi najua.
La= the
de= of
The grace of God
 
La= the
de= of
The grace of God
asante mkuu, nitaendelea kujifunza, alafu kuna vile vialama vinakuwa juu ya baadhi ya herufi hasa irabu(a, e, i, o, u) ndio huwa sielewi kabisa. unakita juu ya "a* kuna nukta au mkato
 
asante mkuu, nitaendelea kujifunza, alafu kuna vile vialama vinakuwa juu ya baadhi ya herufi hasa irabu(a, e, i, o, u) ndio huwa sielewi kabisa. unakita juu ya "a* kuna nukta au mkato
Usijali Mkuu, kuna lesson special for that; "accent"
 
Back
Top Bottom